Volkswagen Touareg gari ambayo imetokea kunikonga nyoyo sana of all the German makes

VW ni gari ambazo ni cheap to own and maintain kulinganisha na most of EU brands.

Ukishindwa VW basi hutaweza gari zote za EU.

Na pia ni cheap to buy. Unapata specs kubwa kwa hela ndogo.
Mkuu umezungumzia general sana hizi series za VW golf 8 mpaka 10, R series au twende kwenye Polo mbona ni gari ghari kidogo...
 
Q5 ni chaguo langu kwa audi imesimama sana yani πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Porsche baba lao.

Nazipenda sana Porsche kuliko all German Cars. Their build quality is top notch.

Inafuata BMW na Merc Benz. Audi is not in my preference.

Tuongeze juhudi za kutafuta hela.
 
Porsche baba lao.

Nazipenda sana Porsche kuliko all German Cars. Their build quality is top notch.

Inafuata BMW na Merc Benz. Audi is not in my preference.

Tuongeze juhudi za kutafuta hela.
Porsche ni baba lao kweli hivi ya kuanzia 2012 kodi yake ipoje za miaka hiyo mpaka 2014 bei zake sio mbaya huko nje sijui Mama kodi yake ngapi anataka hapo...Cayenne nazikubali mno
 
Toyota fielder huitaki tena?
 
Hahahah wahuni mpo intact! Ungekuwa karibu ningekununulia guiness baridi usuuze koo!
Fielder gari ya family mzee hii nazungumzia baada ya kuwa na surplus income VW ni moja ya dream nikishindwa basi Q8 itahusika
Q8 ni more expensive kuliko VW Touareg so huwezi shindwa kununua VW ukaweza afford kununua Q8. Ushuru wa Audi unaweza dhani TRA wameweka kwa ajili ya kutukomoa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…