yaramazlik
Senior Member
- Apr 7, 2012
- 174
- 251
Tamu sana ile, jamaa anaitoa mafusa vya kutosaha... nitamuomba mwamba siku moja nikichafue nayo hadi morogoroJana nimeiona mitaa ya ITV kwenye foleni ya kwenda Mwenge. Chombo bado ipo na chasis number watu wanaitoa mafua
😅😅😅😅😅 itakuwa ya beki 3 kuendea sokoniOya wana siku Extrovert akinunua VW touareg mnishtue aniuzie opa yake kwa 4.5m asee.
Bei reasonable kabisa kwa hiyo ukiwa na around 23M unavuta chuma.Bei zake sio mbayaView attachment 1874745View attachment 1874747
nimescreenshot kwa matumizi ya baadae, shukran mkuu..Kuna option 2 ,nunua kwa dealer zile pre-owned bila VAT ambayo ni 15%, option ya pili accident/damaged cars kwenye auction ambako gari ya 2018-2020 unaweza pata kwa 15-25 m max. Unalitengeneza na kusepa nalo. Hizi zote unauziwa na documents original,naona kama japan bei iko juu zaidi .
You are welcomenimescreenshot kwa matumizi ya baadae, shukran mkuu..
asante sana..You are welcome
Hii gari bana kila nikiiona inanipa hasira sana za kutafta hela wazee ni gari flani ambayo ni sort of a cross over SUV ila design yake imekaa makini sana kwa picha inaonekana ndogo ila in reality its a huge machine. Nimeiweka kwenye wishlist yani ikatokea siku nimepiga mshindo tu imma cop this whip!
View attachment 1841907View attachment 1841908View attachment 1841909
Ukiniambia ni gari gani naiwaza na kuiota kuja kuimiliki basi this is it. Its a dream hasa ile V6! Wenye uzoefu na hii gari karibuni mnipe mchanganuo wa wasifu wake zaidi sababu muda ukifika sitajiuliza mara 2!
Kwa undani ili iweje Mkuu badilikeni mkipenda kitu nunua tuu hiyo ni gari sio Moyo huo..Nenda Malawi tuu hapo uone vyuma wanavyokimbiza kwa kuwa hakuna mambo ya kuulizana wala kutishana gari mtu akiipenda anaagiza tu maisha yanaenda sasa Bongo mtu pesa anayo anatumia mwaka mzima kuulizia tuu...na gari zenyewe tunanunua za 2010 kurudi nyuma itaacha kuwa mbovuNimesoma karibu post zote ila sijaona mtu aliejadili hii gari kwa undani, naona ngonjera tu.
Kuna Toureg R50, Ni high performace version ya Toureg. Sema engine yake ni diesel ila ni 5.0L V10. Ina balaa.Hii gari bana kila nikiiona inanipa hasira sana za kutafta hela wazee ni gari flani ambayo ni sort of a cross over SUV ila design yake imekaa makini sana kwa picha inaonekana ndogo ila in reality its a huge machine. Nimeiweka kwenye wishlist yani ikatokea siku nimepiga mshindo tu imma cop this whip!
View attachment 1841907View attachment 1841908View attachment 1841909
Ukiniambia ni gari gani naiwaza na kuiota kuja kuimiliki basi this is it. Its a dream hasa ile V6! Wenye uzoefu na hii gari karibuni mnipe mchanganuo wa wasifu wake zaidi sababu muda ukifika sitajiuliza mara 2!
Hizi gari zinanifurahisha tairi zake, zimefungwa tairi pana balaa utadhani supersingle ya lori!
Nawe umeendelea kuleta ngonjera za Laura Rashid Magulu KUMBWANINimesoma karibu post zote ila sijaona mtu aliejadili hii gari kwa undani, naona ngonjera tu.
Wenzio wanayazungumzia magari we unaonesha viberiti. (just joke brother )Gari ya ndoto yanguView attachment 1874724View attachment 1874728