Volkswagen Touareg gari ambayo imetokea kunikonga nyoyo sana of all the German makes

Volkswagen Touareg gari ambayo imetokea kunikonga nyoyo sana of all the German makes

Habari za kazi wakuu. Kuna mtu humu ndani ana real experience ya VW tiguan. Nataka nijue mtazamo wake interms of reliability (frequency ya kuharibika), comfortability, fuel consumption, road stability yake kwene long trips and maintenance costs.

Nataka nichukue VW Tiguan LEISTUNG ya 2011.

 
Gari ya ndoto yangu
IMG-20210721-WA0025.jpg
3.jpg
 
Kuna option 2 ,nunua kwa dealer zile pre-owned bila VAT ambayo ni 15%, option ya pili accident/damaged cars kwenye auction ambako gari ya 2018-2020 unaweza pata kwa 15-25 m max. Unalitengeneza na kusepa nalo. Hizi zote unauziwa na documents original,naona kama japan bei iko juu zaidi .
nimescreenshot kwa matumizi ya baadae, shukran mkuu..
 
Hii gari bana kila nikiiona inanipa hasira sana za kutafta hela wazee ni gari flani ambayo ni sort of a cross over SUV ila design yake imekaa makini sana kwa picha inaonekana ndogo ila in reality its a huge machine. Nimeiweka kwenye wishlist yani ikatokea siku nimepiga mshindo tu imma cop this whip!

View attachment 1841907View attachment 1841908View attachment 1841909


Ukiniambia ni gari gani naiwaza na kuiota kuja kuimiliki basi this is it. Its a dream hasa ile V6! Wenye uzoefu na hii gari karibuni mnipe mchanganuo wa wasifu wake zaidi sababu muda ukifika sitajiuliza mara 2!

Chuma imetulia sana
 
Nimesoma karibu post zote ila sijaona mtu aliejadili hii gari kwa undani, naona ngonjera tu.
Kwa undani ili iweje Mkuu badilikeni mkipenda kitu nunua tuu hiyo ni gari sio Moyo huo..Nenda Malawi tuu hapo uone vyuma wanavyokimbiza kwa kuwa hakuna mambo ya kuulizana wala kutishana gari mtu akiipenda anaagiza tu maisha yanaenda sasa Bongo mtu pesa anayo anatumia mwaka mzima kuulizia tuu...na gari zenyewe tunanunua za 2010 kurudi nyuma itaacha kuwa mbovu
 
Hii gari bana kila nikiiona inanipa hasira sana za kutafta hela wazee ni gari flani ambayo ni sort of a cross over SUV ila design yake imekaa makini sana kwa picha inaonekana ndogo ila in reality its a huge machine. Nimeiweka kwenye wishlist yani ikatokea siku nimepiga mshindo tu imma cop this whip!

View attachment 1841907View attachment 1841908View attachment 1841909


Ukiniambia ni gari gani naiwaza na kuiota kuja kuimiliki basi this is it. Its a dream hasa ile V6! Wenye uzoefu na hii gari karibuni mnipe mchanganuo wa wasifu wake zaidi sababu muda ukifika sitajiuliza mara 2!
Kuna Toureg R50, Ni high performace version ya Toureg. Sema engine yake ni diesel ila ni 5.0L V10. Ina balaa.

Na yenyewe ni Performance car kama zilivyo Golf R n.k.

Inakuwa na Maandisho yameandikwa R50 kwenye front Grille na kule nyuma.
 
Back
Top Bottom