Volkswagen Touareg gari ambayo imetokea kunikonga nyoyo sana of all the German makes

Volkswagen Touareg gari ambayo imetokea kunikonga nyoyo sana of all the German makes

Ukinishinda, chagua hotel yoyote ukapumzike na mpenzi wako. Siku mbili madereva tutalipa [emoji846][emoji846]
Niko zangu baharini ndani ya ghuba...yaan ni mnanichekesha kinoma asee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji23]

Yaan nimecheka huu uzi hadi basi[emoji16]

We muunguza tairi huo ununda mi sijawahi kuufikia[emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16]
 
Mie nitaletewa kijiweni tu na mie naiweka pembeni ya wana pale 😀😀😀😀😀
Hahahahaha kijiwe kina mikwaju ya hatari 😅😅😅 nuff respekt! Unaweza kushangaa raia wanacheza na ndoto yako pale kijiweni like nobodys business!
 
Eeh anaweza asiamini ambacho anakiona machoni mwake 😂😂😂 akaishia kusoma quad rings! Kwa mbali
😀😀😀😀😀😀 uzuri kale ka kipande humos zake tamu, hamba cha kupunguza speed yaani ku fyeka tu hadi pale mwenge, ikimpendeza tunakula kulia kuitafuta kijazi 😀😀😀😀😀
 
Niko zangu baharini ndani ya ghuba...yaan ni mnanichekesha kinoma asee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji23]

Yaan nimecheka huu uzi hadi basi[emoji16]

We muunguza tairi huo ununda mi sijawahi kuufikia[emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16]
Si ndio unajifunza 😀😀😀😀, kila kitu mazoe na kujifunza mwisho wa siku unakuwa master
 
😀😀😀😀😀😀 uzuri kale ka kipande humos zake tamu, hamba cha kupunguza speed yaani ku fyeka tu hadi pale mwenge, ikimpendeza tunakula kulia kuitafuta kijazi 😀😀😀😀😀
Eeh wamezisawazisha now ni speed mshale tu unainama naz na kuinuka nazo haina kupoa
 
Hahahaha mdogo mdogo tu sema we unaenda na upepo wa Sedans tu 😅😅😅
Miaka ya mbeleni hata huyu nitamweka kwa parking bila shaka 😀😀😀
Screenshot_20210707-152505_Chrome.jpg
 
Back
Top Bottom