Precise Pangolin
JF-Expert Member
- Jan 4, 2012
- 13,010
- 6,678
Toureg nilishaendesha ya jamaa yangu ni gari nzuri na inatambaa kama mshale na ilitokea kuipenda mno lakini mafundi walinitisha kwamba itanitoa roho ndio maana unaona nauliza na kuichunguza sanaCombination ya mafundi magumashi na wamiliki wasiojitambua ndio matokeo yake hayo. Gari ya maana utaipeleka chini ya mwembe?
Well...kitu ninachokwambia usitegemee maintenance cost iwe kama toyota rav4...ina gharama yake ndio maana ukiendesha vw bmw unaheshimikaToureg nilishaendesha ya jamaa yangu ni gari nzuri na inatambaa kama mshale na ilitokea kuipenda mno lakini mafundi walinitisha kwamba itanitoa roho ndio maana unaona nauliza na kuichunguza sana
Hii shule ni nzuri sana tupige tena VWSijui budget yako, na unataja nunua used Tanzania au unaagiza nje, na umepanga kutumia mjini au masafa ila izo gari zote ni nzuri sana, ingawa MIMI ningeenda BMW X5.
Kama umepanga kuspend between Mil 25-30 hivi BMW E53 ingefaa. Kuna wide range ya choice ya engine size hapa kuanzia 3.0L 4.4L 4.6 hadi 4.8L na zipo i6 hadi v8 na zaidi kuna diesel models, so wewe tu uchaguzi wako. Ni gari nzuri, ndio BMW X ya kwanza kabisa kabla ya hao X3, X6. Ilitengenzwa enzi zile BMW inawamiliki Land Rover so inashare some components with Range Rover HSE.
Ndani haina mbwembwe nyingi sababu ya uzamani but can be upgraded.
Kama budget kubwa zaidi basi E70 itakuhusu ingawa andaa hela kubwa above 40M. Nayo nzuri sana na zina technology ya xDrive kutoka BMW, unaweza bahatika ukapata X5M performance. Engine size ni sawa tu E53 ingawa zimeongezeka options za Twin Turbo.
Hizi F15 ni more advanced na bei zake zitakua mbaya zaidi kwakua ni very recently, 2014 ndio zimeanza kuingia sokoni so sizijui.
Sasa usichanganyikiwe na kujua aina ya BMW unayoinunua mkuu, hawa jamaa wana nomenclature yao kidogo inasumbua kichwa. Kwahiyo mfano ukiona kwenye BMW X5 ubavuni kwenye mlango wa mbele pana xDrive 30d iyo gari ni diesel, ina xdrive technology na engine size yake ni 3.0L. ukiona kuna herufi i hafu maybe 4 or 6 (i6 au i4) ujue cylinders zake ni straight inline, yaani izo cylinders zipo kwenye mpangilio wa mstari mnyoofu. hazijakaa V shaped. BMW zingine kama tulivosema zina V8 yaani cylinders zimekaa in V shaped, 4 zipo upande huu na 4 mwingune
Sijui kama nimesaidia but nimesema nnayoyajua ingawa nimemix sana
mkuu nashukuru kwa.mchango wakoNgoja niende pound for pound.
Bmw X5 E53 2000-2006
3.0d diesel 3L engine nzuri kwa utumiaji mafuta ila haina kasi kama bmw inavyojulikana.
3.0I petrol 3L engine inakunywa wese kama hela ya mawazo haikufai.
Pia sio comfortable sana maanake bmw ziko more sporty.
VW Touareg 7L 2002-2008
2.5tdi diesel engine haina nguvu,haina speed. Inasumbua sana.
3.0V6 tdi diesel engine ina nguvu na speed ya ajabu unaweza usione tofauti na petrol engine. Inatumia mafuta vizuri.
3.2V6 petrol, hii ni beast...very powerful and fast ila inakunywa wese kama una hela ya mawazo haikufai. Very comfortable than X5.
Kitu muhimu...spares za vw touareg ni bei nafuu kuliko za bmw x5, availability ya spares zote zinapatikana kwa urahisi na nyingi.
Kwa ushauri wangu chukua VW Touareg 3.0Tdi.
Wadau mwenye ujuzi na Volkswagen -Tuareg V6 na BMW X5 atujuze kidogo
BMW E53 Model ya kwanza kabisa, Mwaka 1999- 2006BMW ndo gari gani hiyo wakuu ?? Tunaomba mtupiamo basi na kapicha
BMW kirefu chake ni Baba,Mama,WatotoBMW ndo gari gani hiyo wakuu ?? Tunaomba mtupiamo basi na kapicha
Sure brother.BMW X5 E70 kuanzia 2007.....Hii tofauti yake na X6 ni BODY tu.
BMW X5 E53 hizi ni X5 za mwanzoni 2000 mpaka 2005/6
I had the E39 facelift....now I'm torn between E60 and Merc W204!Sure brother.
I prefer smaller X3.
Sio Be My Wife ?BMW kirefu chake ni Baba,Mama,Watoto
Atleast una experience na Germans. Eti nilisoma somewhere walikua wanaongelea gharama za uendeshaji, service and Maintanance ya Audi, BM na MB wakasema Audi ndio gharama zaidi kwenye ishu ya utunzaji, Maintanance Na service, followed by BM na Benz ndio gharama ndogo.I had the E39 facelift....now I'm torn between E60 and Merc W204!
Nafikiri hio ina apply Europe. Kwa hapa Tz Audi na VW ndio rahisi kuiendesha. Parts zake sio ghali sana. BMW ni ghali kuliko Mercedes kwa hapa Bongo na Volvo parts ndio most expensive, wingi wa magari unachangia kupunguza gharama kwasababu parts zinakuja kwa wingi, kwahio naweza kusema kwa gharama ziko mtindo huuAtleast una experience na Germans. Eti nilisoma somewhere walikua wanaongelea gharama za uendeshaji, service and Maintanance ya Audi, BM na MB wakasema Audi ndio gharama zaidi kwenye ishu ya utunzaji, Maintanance Na service, followed by BM na Benz ndio gharama ndogo.
Unaonaje mzee hapa kwa Model zinazofanana mfano A4, 3 series na C series.
Hahah hii nadhani imekaa poa zaidi.Sio Be My Wife ?