demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,292
- 15,250
Hahaha mikia watakuambia hii droo yanga ndio wamesababisha
USISAHAU PIA WATAANZA KUMLAUMU JAMAL MALINZI KUWA AMESABABISHA WAO WAKATOA SARE.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha mikia watakuambia hii droo yanga ndio wamesababisha
angekua chaguo la 5 umemsahau emanueli martin
Hahaha mikia watakuambia hii droo yanga ndio wamesababisha
Binamu zao lambwalambwa vipi?
Namna hiyo. Hawana timu hao kelele tu...Tofauti ya point mbili sasa. Mambo yameanza kukaa sehemu zake
Mbona mnamsahau Jerry tegete c kasepa kwa mkopo so Mavungo cjui angkuwa chaguo la 6 jangwani au ball boy wetu
Namna hiyo. Hawana timu hao kelele tu...
shake well before use...usikurupuke ku comment km hujaelewa kitu elewa post kwanzaJERRY ANAJUA KULIKO MAVUGO....
Wao wanaokwa jionBinamu zao lambwalambwa vipi?
niliwaona wahuni pale mlipo muondoa Blagnon mkamuacha Mavugo....Mi simba ila mavugo hata mi ningemsajili
Kamati ya usajili imeonyesha kiwango cha juu cha kutojua wachezaji wazuri. Simba toka aondoke Tambwe haijawai kuona straika kila usajili inaleta "mavugo"
wanasema eti kiwanja kibovu.....utadhani pori lao la kule bunju ni zuri kuliko hiki kiwanja.....Watasema refa anawapendelea yanga hao
FT' MTIBWA SUGAR 0 v 0 MIKIA FC.......
WANAANZA KUACHIA USUKANI WENYEWE