Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
simba mtoto aka coastal kashachezea za kutosha hadi sasa...
Na leo zingekuwa hadi 8 mpaka sasa kuna nafasi kadhaa za wazi Yanga ilipoteza first half...
Kama tukiweza kutupia magoli 2 hapo Taifa na wao wasifunge basi tutakuwa tushawatoa...
dah! leo najisikia raha sana hasa pale azam na mbeya city watatoka droo
matokeo jamani
mkuu we umeweza kupata link kuangalia hii mechi??
Mkuu Makoye, Yanga mwenzetu yahoo katupwa lupango kwa sababu zipi tena?
Yanga 5 coast ooooo dk 76
Mimi usipime kipindi cha nyuma nilikuwa najigharamia kuifuata Yanga popote inapocheza, ila kuna vitu vimenifanya nipunguze ushabiki, upenzi ukizidi unauwa.
mkuu tv yako nzuri kweli
Huyu Tambwe anataka kuwa mfungaji bora tena
YANGA,africa yanga africa umoja wa mataifa , mabingwa wa africa mashariki nå kati - hayo ni maneno ya hayati pepe kale aliyekuwa shabiki nå mwanachama wa ukweli wa tumia pendwa ya wananchi YANGA