libeva
JF-Expert Member
- Mar 25, 2015
- 4,465
- 3,615
Mbona mikia wamepotea jukwaani ghafla hivyo? waiteni basi tuje tushangilie ushindi
Habari mbaya kwa mikia hii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona mikia wamepotea jukwaani ghafla hivyo? waiteni basi tuje tushangilie ushindi
Kuna Mkenya anaitwa Selemani Omondi alijinyonga siku Arsenal waliposhushiwa mvua ya mabao na Manchester United, so niliogopa sana maana mimi nikipenda napenda kweli hata mwanamke aliyepata bahati ya kuchaguliwa na mimi anajuwa nampenda kwelikweli kwa dhati.
Kwahiyo mtu ukijitambuwa ulivyo unatakiwa ujiseti mwenyewe.
Yanga 8
Hii mechi ichunguzwe na tff
Hii mechi ichunguzwe na tff
Leo ndiyo leo mtoto hatumwi dukani.
Baada ya vijana wa jangwani kufanya mambo makubwa na mazuri kwenye Kombe la Shirikisho leo watakuwa Uwanja wa Taifa kukipiga na timu dhaifu kabisa Coast Union kutoka Tanga.
Tutashuhudia leo mtu anakula goli 5 bila. Kama una bet mpe Yanga ushindi and 3+. Bila kusahau pia kuna mechi nyingine chamazi kati ya Azam FC (lamba lamba) na wagonga nyundo wa jiji la Mbeya( Mbeya City FC).
Karibuni tupeane updates
Waanze kwanza kuchunguza Real madrid na Granada mtu alikula 9TFF waichunguze hii mechi.
Nina imani ukweli utapatikana na wahusika wataadabishwa.Bao8 kwa bila alafu tukae kimya?
utakua ni upuuzi.Hii mechi kuna namna tuu.NASEMA HAIWEZEKANI NYAMBAFU!!
yanga wameanza sifa zao sasa
cc nifah, Bantu lady Makoye Matale[/
QUOTE]
Yaani mkuu mito hii sasa Yanga sifa loh. 8-0 !!! Furaha ya kupitiliza hii...
#teamyanga #
acha kabisa mkuu, yanga imekuwa tamu kama mcharo
La 9 bado mkuu ?
Watu8 vipi kuhusu chamazi ?
TFF waichunguze hii mechi.
Nina imani ukweli utapatikana na wahusika wataadabishwa.Bao8 kwa bila alafu tukae kimya?
utakua ni upuuzi.Hii mechi kuna namna tuu.NASEMA HAIWEZEKANI NYAMBAFU!!
TFF waichunguze hii mechi.
Nina imani ukweli utapatikana na wahusika wataadabishwa.Bao8 kwa bila alafu tukae kimya?
utakua ni upuuzi.Hii mechi kuna namna tuu.NASEMA HAIWEZEKANI NYAMBAFU!!
Ndiyo mkuu lakini kwenye 3+ nilipatia, kama unataka kubet leo sema nikupatie timu za ushindiMkuu ulitabiri 5 lakini washambuliaji wameongeza na kukupotezea utabiri wako, hata hivyo umetisha maana ulikiona kiama hiki.
Asante Young Africans kwa matokeo haya.
Safiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii, timu langu la mkoa limeniwakilisha vyema, safi sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa, watu weweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeChamazi game imeisha kwa droo
Azam 1 - 1 MCC