VPL 8 Aprili 2015: Yanga Afrika vs Coastal Union

VPL 8 Aprili 2015: Yanga Afrika vs Coastal Union

Kuna Mkenya anaitwa Selemani Omondi alijinyonga siku Arsenal waliposhushiwa mvua ya mabao na Manchester United, so niliogopa sana maana mimi nikipenda napenda kweli hata mwanamke aliyepata bahati ya kuchaguliwa na mimi anajuwa nampenda kwelikweli kwa dhati.

Kwahiyo mtu ukijitambuwa ulivyo unatakiwa ujiseti mwenyewe.

Haya mapenzi ya mpira noma sana kiukweli.Ile game ya Arsenal vs Manchester United sitokaa niisahau maisha yangu yote maana sikulala kabisa na kesho yake nilishindwa hata kutoka ndani.
Kuna kitu umesema hapo mimi pia niko hivyo hivyo kabisa.
 
Asante sana mbeya city wachezaji na uongozi point moja muhimu kwetu. Natumai tutawafunga yanga na simba wajiandae. mungu tubariki.
 
TFF waichunguze hii mechi.
Nina imani ukweli utapatikana na wahusika wataadabishwa.Bao8 kwa bila alafu tukae kimya?
utakua ni upuuzi.Hii mechi kuna namna tuu.NASEMA HAIWEZEKANI NYAMBAFU!!
 
Leo ndiyo leo mtoto hatumwi dukani.

Baada ya vijana wa jangwani kufanya mambo makubwa na mazuri kwenye Kombe la Shirikisho leo watakuwa Uwanja wa Taifa kukipiga na timu dhaifu kabisa Coast Union kutoka Tanga.

Tutashuhudia leo mtu anakula goli 5 bila. Kama una bet mpe Yanga ushindi and 3+. Bila kusahau pia kuna mechi nyingine chamazi kati ya Azam FC (lamba lamba) na wagonga nyundo wa jiji la Mbeya( Mbeya City FC).

Karibuni tupeane updates

Mkuu ulitabiri 5 lakini washambuliaji wameongeza na kukupotezea utabiri wako, hata hivyo umetisha maana ulikiona kiama hiki.

Asante Young Africans kwa matokeo haya.
 
TFF waichunguze hii mechi.
Nina imani ukweli utapatikana na wahusika wataadabishwa.Bao8 kwa bila alafu tukae kimya?
utakua ni upuuzi.Hii mechi kuna namna tuu.NASEMA HAIWEZEKANI NYAMBAFU!!

Ile ya Real Madrid wameanza kuichunguza?
 
Hivi upo serious au unatania?

TFF waichunguze hii mechi.
Nina imani ukweli utapatikana na wahusika wataadabishwa.Bao8 kwa bila alafu tukae kimya?
utakua ni upuuzi.Hii mechi kuna namna tuu.NASEMA HAIWEZEKANI NYAMBAFU!!
 
Mkuu ulitabiri 5 lakini washambuliaji wameongeza na kukupotezea utabiri wako, hata hivyo umetisha maana ulikiona kiama hiki.

Asante Young Africans kwa matokeo haya.
Ndiyo mkuu lakini kwenye 3+ nilipatia, kama unataka kubet leo sema nikupatie timu za ushindi
 
Kidogo tu Tambwe aweke kama zile za C. Ronaldo
 
Chamazi game imeisha kwa droo

Azam 1 - 1 MCC
Safiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii, timu langu la mkoa limeniwakilisha vyema, safi sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa, watu weweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Back
Top Bottom