VPL 8 Aprili 2015: Yanga Afrika vs Coastal Union

Ila msimamo wa ligi wa msimu huu una raha yake, hasa pale chini timu zinazoshuka daraja namna zinavyopigana vikumbo. Huku kwenye ubingwa hakuna ushindani sana,,,,,,,
 
Yani leo raha tupu halafu ndio nimepanga kupumzika nyumbani nisiende vijiwe vya pombe kwakweli leo sijitendei haki.

Acha kabisa nimetoka huko barabarani shangwe ni la ajabu!
Pamechangamka sio kidogo....changanua kama ubadili uamuzi au lah ila kama kesho unaenda kazini ni bora ubaki home tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…