VPL : Kagera Sugar Vs Young Africans


Nasikia sasa mnajipanga kuwapangishia MBAO FC pale PROTEA APPARTMENTS wakae hadi Jumatano ijayo siku ya mchezo wenu nao ili na Wao muwapige Six O'clock kama Kagera Sugar. Halafu safari hii ole wenu mthubutu kupulizia ile dawa yenu iitwayo 4-4-2 katika Chumba ambacho watakaa MBAO FC pale Shamba la Bibi ili muwanyong'onyeshe kwani safari hii tumeshawatahadharisha MBAO FC juu ya kila mbinu zenu chafu na hiyo Jumatano ' tutabanana ' hapo Uhuru Stadium hadi kieleweke ama mtoke nao sare au mfungwe. Safari hii Simba Sports Club tumeamua na tunatumia mbinu zote hadi ' Kieleweke ' msimu huu.
 
Huyo kibushuti nahisi ni yule aliyekufyatua.
Over

Naona umeshapaniki Mkuu. Pole sana! Vipi niwapeni na namba ya Golikipa wa MBAO FC na ile Beki yao moja hivi ina ' minjino ' imejitokeza utadhani ' Ngiri ' juzi mechi na Simba ilitumia dakika kama 3 hivi kusali lakini kilichokuja kumtokea baada ya Mzamiru Yasin kufunga lile Goli yale meno yake yote ' njino ' yalipotea ' kinywani '.
 
Ak ishinda simba sawa akishinda yanga kahonga acheni ushabiki WA kipumbavu,wakati simba inawafunga kagera Dar ulishangilia,Leo yanga kashinda oooh kahonga,Hivi ulicheki gem ya toto na kagera?magoli aliyofungwa Leo hayana tofauti hivyo Ni mapungufu take Tu.ucogope badobado tunawaachia muendelee kushika nafasi yetu
 
Wewe ndie umepaniki maana unaleta habari za mashoga wenzio huku jf
Kwahiyo wamenunuliwa makipa wote wawili?
 
Acha
Mkuu nalijua soka la Bongo mwanzo mwisho na ' figisu figisu ' zake zote. Tena hayo niliyowaambieni hapo ni ' machache ' sana na ipo siku nitakuja ' kufunguka ' humu Watu ' wataumbuka '.
acha unafiki we kocha au wakala au Ni shoga WA wachezaji?siku ya simba sharrif ulimpelekea shi ngapi?we Ni binge la boya
 
Acha
acha unafiki we kocha au wakala au Ni shoga WA wachezaji?siku ya simba sharrif ulimpelekea shi ngapi?we Ni binge la boya

Naona leo wana Yanga wa JF mnapovuka kinoma noma baada ya kuiweka hadharani siri yenu ya ushindi leo Kaitaba.
 
Ku kumbe unasikia ,inwezekana Una homoni za kike umbeya Tu na uongo
 
S
Naona leo wana Yanga wa JF mnapovuka kinoma noma baada ya kuiweka hadharani siri yenu ya ushindi leo Kaitaba.
siri au unafiki Wako,kama uliyajua hayo kwa nn hukuripoti mapema ?baada ya mechi ndo unakuja na story za kishoga hapa jf,nahisi we Ni bwabwa
 
Ku
kumbe unasikia ,inwezekana Una homoni za kike umbeya Tu na uongo

Leo ' mtatapika ' yote ila ukweli utabaki pale pale kuwa Yanga leo mmeihonga Kagera Sugar kupitia kwa Kocha wao Mecky ambaye alimpa ' mlungula ' Kipa na yule Beki wao wa Kushoto ambaye 99% ya magoli yote ya WAJINGA TUNAKODISHWA FC yalikotokea. Sasa fanyeni huo 'Uhuni ' wenu Jumatano kwa MBAO FC muone aibu itakayowakumba. Nasikia sasa mnahaha kuwahamisha MBAO FC kutoka walipo kwenda kuishi pale PROTEA COURTYARD hadi Jumatano kisha baada ya mechi yao na nyie mnawapandisha katika Bombardier Q 400 wakasimulie vizuri huko kwao Mwanza.
 
We jamaa utakua choko,c bure
 
Ho Kasi ya wanachi Inakusumbua Tu ondoa hufu mzee ligi bado SI mlikuwa mnajisifu tuwape kombe kabisa,mtaishia hivohivo na j5mbao anakufa kawaida tu
 
Aachana nae mkuu hofu ya timu la wananchi linawavuruga hawa mbumbumbu fc
JF ilikuwa zamani. Watu tulikuwa tunachambua mpira jinsi ulivyochezwa, siku hizi watu wanakuja hapa jukwaani na matokeo yao wakati matokeo yako uwanjani.

Ikitokea matokeo ya uwanjani ni tofauti na matokeo yao ndipo wanaanza kutoa sababu za Yanga kahonga. Tumepoteza mechi dhidi ya Stand United, timu ambayo haina pesa, wachezaji hawajalipwa, kocha hajalipwa; kama tungekuwa tunahonga, hiyo mechi tusingepoteza. Kocha wa Stand United yule kibabu aliyeondoka amemtuhumu msaidizi wake kujihusisha na vitendo vya rushwa dhidi ya timu kadhaa ambapo Young Africans SC si moja ya timu hizo.

Mikia fc shida yao ni kombe, watuache sisi tucheze mpira, kombe watachukua maana wana usongo mithili ya mwanaume ambaye hajakutana na mwanamke kimwili kwa kipindi cha miaka minne hivyo wana ukame sana. Hata tukiwazidi pointi mwaka huu tutawapa kombe ili wakate kiu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…