VPL leo tar. 21/04/2015: Yanga vs Stand United

VPL leo tar. 21/04/2015: Yanga vs Stand United

Afadhali sasa naweza kupumua vizuri. Bantu lady umeona ubani wangu ulivyofanya kazi?
Hahahaaa
 
Last edited by a moderator:
Nipo dada, kuna lugha mnaongea hapo na kakako katavi nawasikiliza bila kuelewa chochote.

Ha ha hahahaa sasa wewe mtani kaka ndiyo ungekuwa unaibia ibia kidogo, kuelewa. kifipa hiko... Nasaidiwa saidiwa nasikia ila siwezi kuongea hah hahahahaa
 
Back
Top Bottom