VPL, leo tar 24/04/2015 YANGA AFRICA VS RUVU SHOOTING_Live updates...............


Wewe kwa kukariri nakupa tuzo unafaa kuwa mwandishi,umenukuu vilevile kama nilivomsikia...
 

Nimeongea Na mtangazaji mmoja Sa michezo wa RFA asubuhi akaniambia Kama Yanga wataifunga Ruvu Leo watarudia Yale maneno ya Masau Bwire kabla ya kupandisha habari za mechi ya Leo Na hata Kama Ruvu wataifunga yanga poa watafanya hivyo.
 
Huyo masau Bwire muache aongee tu ila ajue kuwa wakati wa game yeye atakuwa nje ya uwanja, uwanjan wataingia wachezaji labda na yeye aingie uwanjan awe mchezaji wa 12.
 
Timu zote zinaingia uwanjan kutafuta point 3 muhimu kwa kila timu.
 
Yanga wanakimbizana uwanjani kama gari lililokata break.Hawachezi mpira,ni puuu goli hadi goli,na wanaongea sana kama vyura kwenye madimbwi ya maji,sasa leo hawamzuii ng'ombe kunywa maji-MASAU MBWIRE!!!!
 
Mpira umeanza hapa uwanja wa taifa, ruvu shooting 0-0 yanga.
 
Asee yanga ni timu inayocheza kwa kasi dsna,hadi raha
 
Hii yanga mmeahidiwa mnafunga ngapi maana ilishachezwa eti...

tumeahidiwa magoli 206090080. Pamoja na kombe la Ligi kuu bara. Una swali jingine tukusaidie. Msimu huu nadhani azam mtajifunza tofauti ya kucheza mpira wa kiwango na KUKANDA MAANDAZI.
 
Shermaaaaaaaaaan!
Yanga 2-0 ruvu shooting
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…