Masao Bwire akiongea na RFA amedai kuwa 'Yanga ni gari bovu lililokata breki halafu limekuwa likizuiwa na vigingi dhaifu', akaongeza kuwa 'Ruvu Shooting ni kigingi imara kitakachozuia hilo gari bovu'. Amejinasibu kuwa endapo wataifunga Yanga watajipatia heshima kubwa na kutambuliwa na Watanzania kwani Yanga ndiyo inaongoza ligi kwa sasa.
Swali linabaki kuwa: je, ni kweli Ruvu Shooting ni kigingi imara kwa Yanga?
sisi tunamaliza ligi, eti wao ndo wanaanza ligi..
Masao Bwire akiongea na RFA amedai kuwa 'Yanga ni gari bovu lililokata breki halafu limekuwa likizuiwa na vigingi dhaifu', akaongeza kuwa 'Ruvu Shooting ni kigingi imara kitakachozuia hilo gari bovu'. Amejinasibu kuwa endapo wataifunga Yanga watajipatia heshima kubwa na kutambuliwa na Watanzania kwani Yanga ndiyo inaongoza ligi kwa sasa.
Swali linabaki kuwa: je, ni kweli Ruvu Shooting ni kigingi imara kwa Yanga?
mbona hamtupi updates au mshakalia?
Yanga1-0Ruvu shooting
Hii yanga mmeahidiwa mnafunga ngapi maana ilishachezwa eti...