Shermaaaaaaaaaan!
Yanga 2-0 ruvu shooting
Shermaaaaaaaaaan!
Yanga 2-0 ruvu shooting
Nimeongea Na mtangazaji mmoja Sa michezo wa RFA asubuhi akaniambia Kama Yanga wataifunga Ruvu Leo watarudia Yale maneno ya Masau Bwire kabla ya kupandisha habari za mechi ya Leo Na hata Kama Ruvu wataifunga yanga poa watafanya hivyo.
Wewe unauliza wakati wameshaongeza tayari?
Nahisi kuna biashara hapa imeshafanyika hapa!!
wewe kwa biashara tena? Maana kuna siku ulitangaza kugawa hapa bure.
MwanaJangwani Makoye Matale WABHEJASANA naomba link ya Azam tv online nifuatilie Mtanange jinsi Ruvu shooting anavyotafunwa leo.
kausha basi khaaaa!!
Waarabu tu ndo wanatuaribia pozi mkuu, lakini hivi vitimu sijui vya wapi, ni kupiga goli tu
cc nifah
Nahisi kuna biashara hapa imeshafanyika hapa!!
Yani hawa mcc wanapiga mpira mkubwa sana leo.Tatizo ni hiyo minoti ya muhindi waliyopewa jana jioni ili wasiifunge Yanga,so ngoma itaisha kwa droo,ikitokea tofauti 'nibandueni'
Mkuu ndetichia, wewe ni mnazi wa Azam na tunaheshimu uamuzi wako kama binadamu mwingine yeyote. Hata hivyo kauli kama hizi zinaharibu taswira ya soka kwa watu kuanza kuhisi kuwa mechi zinachezwa nje ya uwanja. Nafahamu kuwa ungependa kuona Yanga siyo tu ikitoa sare bali ikipoteza kabisa mchezo wa leo kwa maslahi ya timu yako.
Sisi kama Yanga hatujui tutapata bao ngapi, tunachojua ni kuwa tutapata pointi 3 muhimu.
Waarabu tu ndo wanatuaribia pozi mkuu, lakini hivi vitimu sijui vya wapi, ni kupiga goli tu
cc nifah
Wewe kwa biashara tena? Maana kuna siku ulitangaza kugawa hapa bure.