VPL, leo tar 24/04/2015 YANGA AFRICA VS RUVU SHOOTING_Live updates...............

VPL, leo tar 24/04/2015 YANGA AFRICA VS RUVU SHOOTING_Live updates...............

mkuu ukiona yanga,simba au azam ipo juu jua kabisa hadi ligi inaisha ni mihela tu hakuna kujichosha..

Yanga kumbe wana pesa nyingi sana, maana wamebaki wao tu kwenye mashindano ya kimataifa kwa ukanda huu wa Afrika Mashariki.
 
mkuu ukiona yanga,simba au azam ipo juu jua kabisa hadi ligi inaisha ni mihela tu hakuna kujichosha..

Mkuu next year mwadui in da house nao wana hela za madini vipi watachukua ubingwa au hebu dadavua.
CC Makoye Matale
 
Last edited by a moderator:
Yan nikimuwaza Masau Bwire najikuta nacheka kabla hata cjamsikia atasemaje
 
mkuu ukiona yanga,simba au azam ipo juu jua kabisa hadi ligi inaisha ni mihela tu hakuna kujichosha..

Mkuu ndetichia kama ni mihela Azam mna mihela mingi kuliko Yanga na Simba mbona sasa hamuongozi ligi? Kwakuwa umethibitisha kuwa Azam mnashinda kwa kutoa mlungula usilazimishe kuwa Yanga nayo inatoa mpunga, hiyo ni 'dhambi' yenu nyie wenyewe!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom