Watoke sare ya bila kufungana. Maana akishinda mnyama, kelele zitakuwa nyingi mtaani. Akishinda lambalamba atazidi kutuacha.
Simba ndio baba LA baba!
Tulifunga bao, na wakati tulipodhani tumeshinda, Omar Hussein akaisawazishia Yanga zikiwa zimesalia dakika nane tu.
Weka na kikosi cha mnyama ili tutoe tathmini.
Magoli yako kwenye benchi!
Leo mtani njoo kwetu tu, maana hata huku Azam tunaichukia balaa (siongelei wana-Simba wote)!!
Niwe mkweli, mi binafsi, yanga ikicheza na Azam, huwa najikuta nataka Azam ifungwe!! Sipendi kutaka Yanga ishinde, ila roho yangu inakuaga hivyo!
Mungu ibariki Simba ifungwe au itoe droo kama kawaida yake
Mkuu ni dua tu hiyoMkuu punguza hasira tulia .