grafani11
JF-Expert Member
- May 24, 2011
- 15,441
- 5,816
Watoke sare ya bila kufungana. Maana akishinda mnyama, kelele zitakuwa nyingi mtaani. Akishinda lambalamba atazidi kutuacha.
Dua za kombe la mapinduzi na mechi ya ndanda zinaendelea kama kawaida. Wengine leo eti wanadanganya hakuna ibada, timu analosapoti likifungwa wanapotea humu wakiulizwa nilikuwa ibadani. Kaazi kwelikweli