grafani11
JF-Expert Member
- May 24, 2011
- 15,441
- 5,816
Kumbe na Yanga kila siku kufungwa na Simba mnaikomoa Azam. Leo ndio mmetoboa siri.Dewji na Bakhresa. Waarab wapemba wanajuana kwa vilemba. Usijeshangaa majirani zetu wakawa ngazi ili watukomoe.