Kheir yako wewe umekata tamaa mapemda manake baadae mkifungwa hautaumia sana kuliko wale wenye matumaini ya kushinda na wajelajela wakianza kuwatembezea mkong'oto wataumia sana.Ninaomba sana simba leo tufungwe...naomba sana tufungwe...ili viongozi wa timu wakubali kukaa chini na kujua tatizo ni nini.
Kushinda leo kutaendeleza mtindo wa viongozi wa simba kuendelea kupiga siasa kuwa mamb yatakuwa sawa.
Leo mimi nashabikia Prisons.
cc Makoye Matale Amavubi grafani11 sembo barafuyamoto
Kheir yako wewe umekata tamaa mapemda manake baadae mkifungwa hautaumia sana kuliko wale wenye matumaini ya kushinda na wajelajela wakianza kuwatembezea mkong'oto wataumia sana.
Kila la kheir Tz Prisons.
Ninaomba sana simba leo tufungwe...naomba sana tufungwe...ili viongozi wa timu wakubali kukaa chini na kujua tatizo ni nini.
Kushinda leo kutaendeleza mtindo wa viongozi wa simba kuendelea kupiga siasa kuwa mamb yatakuwa sawa.
Leo mimi nashabikia Prisons.
cc Makoye Matale Amavubi grafani11 sembo barafuyamoto
Mkuu hii ya kwako haikubaliki, wachezaji inabidi waachane na mgogoro wa nje ya uwanja, wawaache viongozi wao na wenyewe wafanye yao.
Ushindi kwa Prisons leo, tunataka wavurugane hasa. Kuna wanaohama timu, waliochanganyikiwa wiki nzima, waliokuwa wakali kwa wiki hii.
prisons tupeni raha, piga mikia aka paka, Simba alishakuwa paka.
Jangwani full furaha, Ngassa tunakupenda wewe acha tu.
Mkuu hilo unalolisema haliwezekani...kwa mfumo wa usajili wa timu yetu na namna ya umiliki wa wachezaji wa timu yetu huwezi kuwatenga na yanayoendelea nje......
Mkuu...nadhani unajua wachezaji wa simba hawamilikiwi na timu bali na watu binafsi
Mishahara wanalipwa na watu binafsi na hao ndio waliowasajili
Timu haina pesa ya kusajili wala kulipa mishahara.
Kwa hio hawa watu waliopo nje kama hawaelewani basi obvious uwanjani hatuwezi kufanya kitu
Ivi umefikiria kitendo cha timu yetu kwenda kucheza ndondo kahama ili wapate hela ya hoteli na mafuta ya gari...na bado unaombe timu leo ishinde? Kweli? hapo hautakuwa fair
Ninaomba sana simba leo tufungwe...naomba sana tufungwe...ili viongozi wa timu wakubali kukaa chini na kujua tatizo ni nini.
Kushinda leo kutaendeleza mtindo wa viongozi wa simba kuendelea kupiga siasa kuwa mamb yatakuwa sawa.
Leo mimi nashabikia Prisons.
cc Makoye Matale Amavubi grafani11 sembo barafuyamoto
Mkuu, hata watoto wanaolipiwa ada na wazazi/walezi wao ikitokea kuna mgogoro kwenye familia kwa anayejitambua yeye atakazania masomo yake na kujitahidi kufaulu mtihani.
He! Makubwa, kama mmefikia hatua hiyo ni balaa!
Sasa hapa tunaongelea teamwork....haiwezekani ikawepo....Teamwork ni kila kitu
Mkuu pale simba kuna matatizo makubwa sana mkuu
Wachezaji kadhaa hawajalipwa mishahara ya miezi zaidi ya miwili
Alafu unataka washinde....wataanzaje mkuu? Tunatakiwa tuwe fair masuke
Ushindi kwa Prisons leo, tunataka wavurugane hasa. Kuna wanaohama timu, waliochanganyikiwa wiki nzima, waliokuwa wakali kwa wiki hii.
prisons tupeni raha, piga mikia aka paka, Simba alishakuwa paka.
Jangwani full furaha, Ngassa tunakupenda wewe acha tu.
huyu kaburu atuachie Simba yetu tumechoka kudharaulika...