VPL: Super Saturday 17/10/2015

Kocha msaidizi wa mikia na abdi banda wakiroga mchana kweupe mikia walipocheza african sports tanga!

kama ililipa wala haina matatizo, ila neno nililosikia ni kwamba hao walichombua kilichowekwa, yaani walitegua.
 
Uwanja wa Taifa migulubaja kama kawaida yao wamekosa penati. Refa amelipa alichopewa wenyewe wameshindwa.
 
Ukiona mtu mzima anachambua matokeo ya soka kwa kuegemea zaidi historia ujue huyo amefilisika kisoka amebaki na matokeo yaliyopita kichwani. Wakati Simba SC wanatumia Science mpya wewe umeng'ang'ania historia kama fuvu la Zinjanthropus!
 
Kuna siku nilikuwa nasoma makala moja ambayo ndani yake Betram Mwombeki alikuwa akihojiwa...

Alitaja kuwa moja ya mambo yaliyomkimbiza Msimbazi ni huo ulozi ulozi...

Hizi timu zote zimebobea tu kwenye ndumba...
Nadhani umechanganya stori kidogo. Mwombeki hakukimbia Simba, ila aliachwa kwa kuwa kocha hakumkubali. Alienda JKT Ruvu na ndiko alipokutana na mambo hayo. Nakuwekea kipande hiki cha simulizi yake kutoka kwenye moja ya blogs za bongo

 
Yebo yebo ilikuwa na wachezaji 13 uwanjani: Refa na mashabiki. Inaonekana refa ana kadi ya uanachama wa maisha wa Yanga.

Hongera refa; hata kama timu yako haikushinda.
 
Yebo yebo ilikuwa na wachezaji 13 uwanjani: Refa na mashabiki. Inaonekana refa ana kadi ya uanachama wa maisha wa Yanga.

Hongera refa; hata kama timu yako haikushinda.

Sisi tumecheza na timu bora, kutoa sare ni jambo la la kawaida kabisa. Kumbuka hii ni mechi ya 3 mfululizo inachezwa ndani ya dakika 90 na timu kutoka sare au suluhu. Kwa sasa mpinzani wa ukweli wa Yanga ni Azam FC, Simba SC amebaki kuwa mtani tu.

Huko Mbeya Simba ilikuwa na wachezaji 13 viz Kaseja alikuwa mshambuliaji katika lango la MCC FC.
 

Wewe msukuma ulipotea kwa muda. Salama lakini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…