NGANU
JF-Expert Member
- Oct 18, 2012
- 1,919
- 393
Ebwana nimeota yanga tumepigwa 3-0. Ila nakataa katika jina la yesu iwe vice versa is true.
Hiyo ndoto wala usiikumbuke kwani inaweza leta madhara kwetu.
Azam lazima akae pamoja na wifi yake Simba.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ebwana nimeota yanga tumepigwa 3-0. Ila nakataa katika jina la yesu iwe vice versa is true.
Kikosi cha Azam FC kinachoanza leo ni
1.Aishi Manula
Agrey Morris
David Mwantika
Serge Wawa Pascal Shomary Kapombe Farid Mussa
Shah Malik
Kipre Balou
Himidi Mao
Sure boy Allan Wanga John Bocco Akiba Mwadini Ally Kipre Tchetche Ramadhan Singano Frank Domayo Said Morad Erasto Nyoni Mudathir Yahya
Sina shaka kabisa na Mnyama mkali wa Mwituni.. Naimani leo ataendeleza maangamizi kama kawaida yake.
Mkuu, historia ya mnyama pale Sokoine Stadium, Mbeya sio nzuri. Akijitahidi sana na sare!
Nina wasiwasi kiungo ya yanga bila fundi niyo, nadhani azam watamiliki dimba sanaaa