namanyele
JF-Expert Member
- Oct 19, 2012
- 1,852
- 610
Jana tumeshuhudia vijana wa Jangwani wakishinda kwa mbinde sana mbele ya Stand Utd, Leo kivumbi kingine ambapo Simba watakuwa na kibarua kigumu sana mbele ya Mgambo JKT toka jijini Tanga timu ambayo Simba inapata wakati mgumu sana pindi wanapokutana uwanjani.
Simba inayosaka nafasi ya pili kwa udi na uvumba ili mwakani na yenyewe iweze kushiriki michuano ya kimataifa itacheza kufa na kupona kuhakikisha wanaibuka na ushindi mnono leo na sio kuishia wasindikizaji tu kwenye kama timu zingine. Kama kawaida kutakuwa na live updates hapa hapa jamii forum.
Hii game itakuwa ni kali sana kuliko game ya jana maana Simba wanataka kulipa kisasi baada kufungwa 2 kule jijini Tanga, pia Mgambo wanataka kuendeleza uteja kwa Simba.
================
================
Matokeo ya Mwisho: Simba 4 - 0 Mgambo
Simba inayosaka nafasi ya pili kwa udi na uvumba ili mwakani na yenyewe iweze kushiriki michuano ya kimataifa itacheza kufa na kupona kuhakikisha wanaibuka na ushindi mnono leo na sio kuishia wasindikizaji tu kwenye kama timu zingine. Kama kawaida kutakuwa na live updates hapa hapa jamii forum.
Hii game itakuwa ni kali sana kuliko game ya jana maana Simba wanataka kulipa kisasi baada kufungwa 2 kule jijini Tanga, pia Mgambo wanataka kuendeleza uteja kwa Simba.
================
================
Matokeo ya Mwisho: Simba 4 - 0 Mgambo