VPL: Tar. 22\04\2015: Simba vs Mgambo JKT

VPL: Tar. 22\04\2015: Simba vs Mgambo JKT

Watu wa mikia mbona mko Slow sana kutoa updates...........kama hamna mzuka vile au hamjiamini!!!!!!!!!! ahaaaaaaa tupeni matokeo bhana.......
 
Tujuzeni matokeo mimi nimesikia kelele ya goli ila cjajua nani kashinda
 
Yanga bwana, wamejazana humu wakijua tunafungwa!

Hatuna kesi na Simba tena, tuna pointi 49, Simba pointi 35 hivyo hata tukipoteza mechi zote Simba hawezi kuwa bingwa. Sisi tupo hapa jukwaani kama wapenda soka na wala hatuhitaji kuwaombea mabaya tena maana tulipoomba yakawapata mabaya kweli kweli hadi tunasikitika kuwa hatukuomba mabaya yawapate kwa kiwango hiki.
 
Azam anataka ubingwa, mikia fc anataka nafasi ya pili. Hili game mbona sielewi kabisa ?. Ila ninachojua mimi mikia fc wamebaki kuwa wasindikizaji ligi ya bara kama kagera, mtibwa, coast na wenzao wengine, pia mikia fc wamebaki kucheza na historia ya mambo ya kale ambayo hayawezi kujirudia. Kuchukua ubingwa ni ndoto, kushiriki mashindano ya kimataifa pia ndoto kwao. Tunaomba zenj wasifute mapinduzi cup walau majamaa wapande meli.
 
Hatuna kesi na Simba tena, tuna pointi 49, Simba pointi 35 hivyo hata tukipoteza mechi zote Simba hawezi kuwa bingwa. Sisi tupo hapa jukwaani kama wapenda soka na wala hatuhitaji kuwaombea mabaya tena maana tulipoomba yakawapata mabaya kweli kweli hadi tunasikitika kuwa hatukuomba mabaya yawapate kwa kiwango hiki.

Maisha bila unafki hayaendi
 
Back
Top Bottom