VPL: Tar. 22\04\2015: Simba vs Mgambo JKT

Tatizo hata tukishinda mechi zote tunafikisha points 47 wakati yebo tayari wana points 49 apa ni kumuombea azam njaa yapo bado ni ndoto kushika nafasi ya 2
 
From experience second half mgambo

watarudisha magoli yote. Count my words
 
Simba akishinda leo atakuwa na point ngapi ?. Atabakiwa na mechi ngapi kumaliza ligi ?. Atahitaji point ngapi kumfikia Yanga ambaye anaweza kufungwa mechi zote zilizobaki ?

Una maswali mengi kwani we ni Mgambo?
 
Wachezaji wotee wanafuata Mpira ulipo....ufundi hakuna kabisa
 
Dakika ya 15 Mnyama 2: Migambo 0

"Chama letu over homa ya vipindi vile.....inashuka na kupanda, inashuuuuka na kupanda, inashuuuka wee na kupanda!

Msimu ujao lazima tuwe top 2"
 
Katavi vipi mbona huonekani kwani namuona MUSSOLIN tu huku ndo anashangilia njoo umsaidie.
 
Last edited by a moderator:
Yebo yebo bila mbeleko za marefa na kununua mechi kadhaa wasingeuona ubingwa mwaka huu.....
 
Huu mtama alopigwa Okwi ni wa Kimgambo haswaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…