yahoo
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 3,526
- 1,409
Matokeo
Yanga 4 - Polisi Moro 1
Kwa Matokeo Hayo Yanga Imefanikiwa Kutwaa Ubingwa Wa Ligi Ya Tanzania Bara
=========================================================
Ni mechi ya ubingwa kwa timu ya Yanga kwani ikishinda mechi hyo dhidi ya Polisi Moro, itakuwa ndo Bingwa wa Soka wa Tanzania Bara. Kila la heri Young African.
Kila la heri mods wote mnaopenda Yanga
Yanga 4 - Polisi Moro 1
Kwa Matokeo Hayo Yanga Imefanikiwa Kutwaa Ubingwa Wa Ligi Ya Tanzania Bara
=========================================================
Ni mechi ya ubingwa kwa timu ya Yanga kwani ikishinda mechi hyo dhidi ya Polisi Moro, itakuwa ndo Bingwa wa Soka wa Tanzania Bara. Kila la heri Young African.
Kila la heri mods wote mnaopenda Yanga
Mechi hii ya leo uwanja wa Taifa inatarajiwa kuwa yenye mvutano mkali. Yanga inahitaji kushinda mechi hii ili kutwaa ubingwa wa soka nchini kwa mwaka 2014/2015.
Polisi Moro watataka kushinda kwa sababu mbili kuu. Mosi,kutaka kukwepa kushuka daraja. Na pili,kukwepa kuwa ngazi ya Yanga ya kutwalia ubingwa. Hakika ni mechi kali.
Wadau akina mkolaji Makoye Matale na wengineo watakuwa hapa kuwapa uhondo wa leo kutoka Uwanja wa Taifa Dar. Kama si Yanga basi ni Polisi Moro