VPL: Yanga vs Polisi Moro,mechi ya ubingwa na kushuka daraja

Naomba nikumbushwe mara ya mwisho simba kuchukua ubingwa ni lini.....?
 
Punguzeni kelele basi jamani, tumeshawapa pongezi
 
Jamani muwe na nidhamu Na huu uzi ulianza tangu jana usiku
 
Naomba nikumbushwe mara ya mwisho simba kuchukua ubingwa ni lini.....?

ni muda mrefu saana wamejaribu makocha 5 ......tangu enzi za liewig, kibaden, loga, phiri na sasa kopnovic...lakini wameshimdwa.
 
Karibu Tufungue Shampeni Mtani!
Huzuni Ya Nini..??! Kumbuka Ulijinasibu Mwenyewe Kua Bado Unajenga Kikosi.
 
nifah ule ubuyu wetu pendwa kule kwa MMU wa lara 1 mbona siuoni aisee?? nimechelewa kuingia humu sasa kila nikifekenyua wapi sioni kitu!! aliweka ile episodi ya mchaga?? nina ugwadu nayo

Ha ha ha! Umesharudi mito na nadhani unajua hilo.
Ubuyu wa mchagga saa 3 kamili.
 
Last edited by a moderator:
FT
4-1
⚽YOUNG AFRICANS⚽
Champion⏳⌛☀⭐
VPL 2014/2015
TUFUNGUE shampen woteeeee Kazi nzuri mchezo mzuri congratulations YANGA

Congratulations again
 

Attachments

  • 1430154204551.jpg
    81.7 KB · Views: 290
Hivi ule utaratibu wa timu ikitwaa ubingwa kabla ya mechi kuisha timu zile zitakazo cheza na bingwa zinampa heshima ipo kwenye VPL...
 
Hivi ule utaratibu wa timu ikitwaa ubingwa kabla ya mechi kuisha timu zile zitakazo cheza na bingwa zinampa heshima ipo kwenye VPL...

Hahahaaaaa hata kama haipo kuanzia msimu huu inabidi ianzishwe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…