Si ndio vyema! Kwa kuwa umepewa siku moja ya ziada ya kujipumzisha?Mtani siunajua Bodi ya Ligi kila kukicha wanabadili ratiba.. kesho Mnyama ndio ataunguruma Nagwanda Sijaona.. Ila hongereni kwa kukaa kileleni kwa muda.
Bangi zenye mbegu zina madhara sana. Hata ikatokea Msuva akawa top scorer bado atasema Msuva ameisha.... [emoji23]Endelea kusema ameisha sasa.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]nifah
Kama ukienda nishtue basi ili twen'zetu..... [emoji23]
Msg nimeisoma kichwa kichwa mkuu nimekunywa kijoti fasta, narudia kuisoma tena kumbe nilipe mwenyewe[emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji109] [emoji109] Aiseee kweli nimekuaminia, utabiri umetimia, kunywa kijoti kwa gharama zako[emoji12] [emoji12]
Msg nimeisoma kichwa kichwa mkuu nimekunywa kijoti fasta, narudia kuisoma tena kumbe nilipe mwenyewe[emoji23] [emoji23] [emoji23]
-nimekula nauli, imebidi nilipie tu hapa nipo mwembe magomeni natembe kwa mguu kurudi nyumbani
Utakuwa unaingelea kwenye mziki kama ni kwenye mpira,poleeerNasisitiza kuwa Msuva hana jipya.
Labda vitu vya Lwandamina. Niyonzima kucheza nafasi ya Tambwe.Kuna kitu nimeona leo......yanga wanauwezo wa kupenyeza mipira katikati na kutafuta magoli kupitia katikati pia. Tulizoea magoli mengi hutokea pembeni hasa krosi
Km ninyi mlivyompigia Mo wachezaji waende kumalizia mechi round ya kwanza.Kapigeni magoti mishahara ilipwe. Hali ngumu. Mnaweza kupitisha kikapu cha mchango.
Leta ushahidi. Nyie kupiga magoti picha zipo mtandaoni.Km ninyi mlivyompigia Mo wachezaji waende kumalizia mechi round ya kwanza.