SIASA 2020
New Member
- Feb 10, 2020
- 2
- 68
Huyu ni bonge la kocha Yanga wamepata
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SAYVILLE njoo hukuHuyu ni bonge la kocha Yanga wamepataView attachment 2730380
Mechi ngumu ni kama zipi?Bado hajakutana na mechi ngumu hata moja ukiacha ya Simba ambayo kapoteza. AZAM, KMC na wale wasomali ungempa hata Kibabage awe kocha bado Yanga ingeshinda.
Tunataka kujua mapema kama El Merrick ni timu nzuri au mbovu.Bado hajakutana na mechi ngumu hata moja ukiacha ya Simba ambayo kapoteza. AZAM, KMC na wale wasomali ungempa hata Kibabage awe kocha bado Yanga ingeshinda.
Ya Simba ni mfano mmoja wapoMechi ngumu ni kama zipi?
Weee unataka kusema je [emoji1787]Tunataka kujua mapema kama El Merrick ni timu nzuri au mbovu.
Bado hajakutana na mechi ngumu hata moja ukiacha ya Simba ambayo kapoteza. AZAM, KMC na wale wasomali ungempa hata Kibabage awe kocha bado Yanga ingeshinda.
Bahati mbaya sijawafuatilia kwa muda ila kwa sababu ya mafanikio yao ya nyuma naweza kusema inastahili heshma yake. Sasa ingieni kichwakichwa kama mlivyofanya kwa Al Hilal muone kitakachowatokea.Tunataka kujua mapema kama El Merrick ni timu nzuri au mbovu.
Basi MzizeSasa Kibabage wa watu anahusikaje hapa?
Pira lile ulilionaje!?Ya Simba ni mfano mmoja wapo
Ni kocha bora kabisa. Karuhusu goli moja tu dhidi ya Wajibuti tangu apewe kibarua YangaBado hajakutana na mechi ngumu hata moja ukiacha ya Simba ambayo kapoteza. AZAM, KMC na wale wasomali ungempa hata Kibabage awe kocha bado Yanga ingeshinda.
Ila kapoteza kombe dhidi ya timu mnayosema inacheza papatupapatuNi kocha bora kabisa. Karuhusu goli moja tu dhidi ya Wajibuti tangu apewe kibarua Yanga
Yanga alishinda. Akachukua ngao ya hisani.Pira lile ulilionaje!?
Mkuu kwanza jibu,lile pira unalionaje?Yanga alishinda. Akachukua ngao ya hisani.
Msimu uliopita Zalan alipigwa nyingi sana mpk Mayele akapiga hat trick.
Alipokutana na Al hilal matokeo yalikuwaje?
Sawa. Kwa Zalan ilikuwaje?Ni kocha bora kabisa. Karuhusu goli moja tu dhidi ya Wajibuti tangu apewe kibarua Yanga
AahaaaaSawa. Kwa Zalan ilikuwaje?
Vipi kuhusu Al hilal?
Champion league siyo km shirikisho.
Unafikiri unakoelekea utakuja uipige timu magoli 5? Umeshasahau Al hilal? Mbona mlishindwa kuifunga goli nyingi?
Kati ya Yanga na Simba nani aliibuka mshindi kwenye ngao ya hisani?Mkuu kwanza jibu,lile pira unalionaje?