NAGAMAHONGA
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 11,131
- 9,301
Wajibuti hawakustahili kupata goli hata moja.Ni kocha bora kabisa. Karuhusu goli moja tu dhidi ya Wajibuti tangu apewe kibarua Yanga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wajibuti hawakustahili kupata goli hata moja.Ni kocha bora kabisa. Karuhusu goli moja tu dhidi ya Wajibuti tangu apewe kibarua Yanga
Sawa,lile pira la Jana unalionaje mzee?Kati ya Yanga na Simba nani aliibuka mshindi kwenye ngao ya hisani?
Pale ni sawa na kupiga bomu mochwari na ukajisifu umeua.Sawa,lile pira la Jana unalionaje mzee?
Naona umesimama katikati ili matokeo yakija vyovyote huwe na njia ya kujiteteaBahati mbaya sijawafuatilia kwa muda ila kwa sababu ya mafanikio yao ya nyuma naweza kusema inastahili heshma yake. Sasa ingieni kichwakichwa kama mlivyofanya kwa Al Hilal muone kitakachowatokea.
Halafu hivi jana uliona Kibwana alivyokuwa anapelekewa moto 🤣😂🤣Pira lile ulilionaje!?
Uliangalia possession na performance ya kila timu uwanjani? au uliangalia penalty tu?Ya Simba ni mfano mmoja wapo
Matokeo yalikuwaje?Pira lile ulilionaje!?
Ball position ndio nini?Uliangalia ball position na performance ya kila timu uwanjani? au uliangalia penalty tu?
dhidi ya Simba?Sawa,lile pira la Jana unalionaje mzee?
Possession ilikuwa % ngapi ? Nani alizidiwa muda mwingi wa mchezoYa Simba ni mfano mmoja wapo
Hiyo team ni kama KMC tuTunataka kujua mapema kama El Merrick ni timu nzuri au mbovu.
Hiyo team ni kama KMC tu
Uliangalia ball position na performance ya kila timu uwanjani? au uliangalia penalty tu?
Mnatuletea stori za mmetufunga lakini chenga twawalaPossession ilikuwa % ngapi ? Nani alizidiwa muda mwingi wa mchezo
Kwa hiyo tukiwatoa hamtakuja kusema ni wabovu?Bahati mbaya sijawafuatilia kwa muda ila kwa sababu ya mafanikio yao ya nyuma naweza kusema inastahili heshma yake. Sasa ingieni kichwakichwa kama mlivyofanya kwa Al Hilal muone kitakachowatokea.
Kama nyie mlikuwa mnapigwa hamsa hamsa kwenye makundi inashindikana nini Yanga kumpiga mtu hamsa?Sawa. Kwa Zalan ilikuwaje?
Vipi kuhusu Al hilal?
Champion league siyo km shirikisho.
Unafikiri unakoelekea utakuja uipige timu magoli 5? Umeshasahau Al hilal? Mbona mlishindwa kuifunga goli nyingi?