Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Jibu swali,hao jamaa ni wazuri au wabovu?Tunzeni maneno, Al Merrik wao kuingia makundi si stori kama Yanga, wapeni heshima yao, siyo wepesi kama mmavyodhani.
Tatizo la Yanga kila mchezaji ana uchu wa kushambulia, mtafungwa moja tu kazi inaisha.