Sauti za Busara mboni watu wanajazana na hakizami, emu acha zakoWapi nimesema Znz ni Mkoa?? Nchi kua na Idadi ndogo ya Watu sio hoja, unaweza ukagoogle nchi zingine,
Halafu hayo maswali yako ndio niliyoyajibu, nyinyi mpo wengi mtadidimiza kisiwa cha Watu na kuharibu historical heritages zao, mbona ving'ang'anizi hivyo!?
Nimegundua unaleta ubishi na sio hoja.... uwe na wakati mwemaSauti za Busara mboni watu wanajazana na hakizami, emu acha zako
Hoja mfu kabisa,Nawaelewa Wazanzibar kuhusu umiliki wa Ardhi, kile kisiwa ni kidogo sana, population ya watu haifiki milioni 1, bara ina population ya Milioni 60 huko, hivi wakiruhusu bara wakalime na kujenga hicho kisiwa kitakuwepo kweli?
Pia wenyewe wanalinda Nchi yao ibaki vile ilivyo kwa ajili ya historia ambayo inaleta watalii, wabara wakipatiwa umiliki wa Ardhi si itakua fujo!
Tuseme mengine lakini suala la ardhi wapo sawa.
Eti BIG THINKER na hoja zake mfu. Pumbafffff.Niliwah kusema Muungano wa Tanzania una makosa na mapungufu mengi kiutekelezaji tunakoenda tutake tusitake utavunjika kama hautafanyiwa mabadiliko kufatia kero za kimuungano zilizopo.
Mfano
1....Mzazibari anaweza kumiliki ardhi bara lakin mtanganyika Hilo kwa Zanzibar haliwezekan.
2....Mzanzibar anaweza kupewa UONGOZI bara lakin mtanganyika Hilo haliwezekan,Mfano watu wamehoji sana Shaka kupewa ukuu wa wilaya Tanzania bara wakati mtanganyika huwez kuwa mkuu wa wilaya Zanzibar
Ndio maana yake. Nini hujaelewa hapo?Hoja mfu kabisa,
Kwahyo wabara wakijenga visiwani wanakula na ardhi yote sio?
Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
Sawa tunaenda kununua viwanja na mbinu ni kumzalisha binti wa kizanzibar mtoto hapo lazima wakupe ardhi,Nimegundua unaleta ubishi na sio hoja.... uwe na wakati mwema
Wabara mpo milioni 60, wao Milioni 1, dsm pekee ina milioni 3, jibu unalo,Hoja mfu kabisa,
Kwahyo wabara wakijenga visiwani wanakula na ardhi yote sio?
Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
Good LuckSawa tunaenda kununua viwanja na mbinu ni kumzalisha binti wa kizanzibar mtoto hapo lazima wakupe ardhi,
Culture me mbona umejibu hoja Moja tu wakati hoja zilizowekwa mezani ziko nne??Nawaelewa Wazanzibar kuhusu umiliki wa Ardhi, kile kisiwa ni kidogo sana, population ya watu haifiki milioni 1, bara ina population ya Milioni 60 huko, hivi wakiruhusu bara wakalime na kujenga hicho kisiwa kitakuwepo kweli?
Pia wenyewe wanalinda Nchi yao ibaki vile ilivyo kwa ajili ya historia ambayo inaleta watalii, wabara wakipatiwa umiliki wa Ardhi si itakua fujo!
Tuseme mengine lakini suala la ardhi wapo sawa.
Ume edit bhana,😀Culture me mbona umejibu hoja Moja tu wakati hoja zilizowekwa mezani ziko nne??
Wabaki kwwao tubaki kwetu, na siku likipiga Tsunami kisiwa kikafutika kwenye ramani ya dunia ndipo wataingiwa akili kuwa uchoyo siyo mzuriNawaelewa Wazanzibar kuhusu umiliki wa Ardhi, kile kisiwa ni kidogo sana, population ya watu haifiki milioni 1, bara ina population ya Milioni 60 huko, hivi wakiruhusu bara wakalime na kujenga hicho kisiwa kitakuwepo kweli?
Pia wenyewe wanalinda Nchi yao ibaki vile ilivyo kwa ajili ya historia ambayo inaleta watalii, wabara wakipatiwa umiliki wa Ardhi si itakua fujo!
Tuseme mengine lakini suala la ardhi wapo sawa.
Ni kwel nimeedit baada ya kuona unajibu kwa hoja siyo mihemuko na matusi kama wanavyofanya vijana wengine.Ume edit bhana,[emoji3]
Original post ulitoa mfano wa Ardhi na nikajibu kulingana na....
Huo Muungano wanaoung'aninia ni nyie nyie Wadanganyika, wenyewe hawautaki hata kuusikia, sasa jiulize kwanini mnawang'ang'ania licha ya kuwawekeeni vikwazoWabaki kwwao tubaki kwetu, na siku likipiga Tsunami kisiwa kikafutika kwenye ramani ya dunia ndipo wataingiwa akili kuwa uchoyo siyo mzuri
Shida makubaliano ya muungano hayajawekwa wazi, yaani Muungano una faida gani kwa Znz na Tanzania....Ni kwel nimeedit baada ya kuona unajibu kwa hoja siyo mihemuko na matusi kama wanavyofanya vijana wengine.
Sasa hebu jib na hizo hoja zingine tatu zilizosalia.
Kisipotosha tutanunua ya kwenu baraSiku moja na wao hakitawatosha.
Sie Zanzibari twastaarabika, hatutaki wahuni waje kuvuruga ustaarabu wetuKwa hio unataka kutuaminisha kwamba Zanzibar sio Nchi bali ni Mkoa? maana idadi ya watu wake kwa mujibu wa Sensa inazidiwa hata na Tabora au Mwanza, ukiacha mbali Dar
Ulisikia wapi mzanzibar anakatazwa kununua Ardhi Simiyu au Katavi? Wapi ulisikia? Ila wewe wa bara marufuku kununua Ardhi ya Zanzibar labda km unaenda kufanya uwekezaji kwenye Ardhi ya Zanzibar km alivyofanya SSB
We mbona unafanya uhaini hadharani?Niliwah kusema Muungano wa Tanzania una makosa na mapungufu mengi kiutekelezaji tunakoenda tutake tusitake utavunjika kama hautafanyiwa mabadiliko kufatia kero za kimuungano zilizopo.
Mfano
1....Mzazibari anaweza kumiliki ardhi bara lakin mtanganyika Hilo kwa Zanzibar haliwezekan.
2....Mzanzibar anaweza kupewa UONGOZI bara lakin mtanganyika Hilo haliwezekan,Mfano watu wamehoji sana Shaka kupewa ukuu wa wilaya Tanzania bara wakati mtanganyika huwez kuwa mkuu wa wilaya Zanzibar
3 .... Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) ikikusanya kodi Zanzibar fedha hizo zinabaki huko kwa ajili ya matumizi ya Zanzibar, pia kuna Bodi ya Mapato Zanzibar (ZRB) ambayo nayo inakusanya mapato lakini pia nayo yanabaki kuwa kwenye matumizi ya Zanzibar.
4....kutozwa kodi ya bidhaa pale unaponunua bidhaa kutoka upande Mmoja wa MUUNGANO.
Umesema wahuni?Sie Zanzibari twastaarabika, hatutaki wahuni waje kuvuruga ustaarabu wetu