Vunjabei always disappoints

Vunjabei always disappoints

Fatulia vizuri kwenye jezi zilizokuwa zimevaliwa utagundua kuwa hakukuwa na logo za Mo
IMG_20230209_105755.jpg
IMG_20230209_105111.jpg
 
Hiyo low quality ipi??? na ulinunua wapi?? nina jezi zote tatu za Simba m- bet na zina quality nzuri tuu. au wewe ni Utopolo
 
Angalieni matracksuit haya uniambie yupi ni mbunifu. Yanga wanadhani kujaza mauchafu kwenye nguo ndiyo urembo.

20230208_224744.jpg


20230209_111114.jpg
 
Huyo mkinga Ni kanjanja tu,
Hata ile bill 2 ya bond ilikua ya mchongo tu Kama ilivyokua kwa bill 20 ya mwamedi
Naona umezunguka ila point yako ilikua hapo kwenye 20B za Mo [emoji23]..
 
Huyu jamaa nadhan akimaliza mkataba asiongezewe tafadhali sana.

Nadhani Simba waingie mkataba na mtu tofaut halaf huyo mtu aingie ubia na fred awe anauzia jezi kwenyw maduka yake. Always ana dissapoit.

Low quality jersey (jamaa anatoa jezi kama nguo zake hata aibu haoni) jezi ya mwaka huu nimeshindwa kuivaa nimetunza ndani kitambaa chepesi low quality yaan huwa naona hata zile anazotengenezea Singida ni bora kuliko zetu.

Anazindua jezi hana. Hivi kwani huyu jamaa anakurupushwaga? Simba imefuzu makundi tangu Nov inamaama jamaa hakujua Feb atatakiwa kuwa na jezi? Very poor! Kila siku we unazindua jezi na huna jezi angalau ingetokea mara moja tu but always hana jezi na hapo tar 15 zitakuja pc 2000 tu kama last time atauzia duka moja tu la sinza anaona raha sana watu wakijazana pale anachukua video kupost aonekane ana base kubwa ya wateja (chukua video siku za kawaida ambazo huna jesy au sale tuone hiyo nyomi).

Designer hana anakurupuka tu na marangi rangi yasiyoeleweka, aisee am tired of him. Na bado kuna wapuuzi wanacoment jesy kali iv ukiwa shabik ndo unapaswa uwe mpumbavu? Hupaswi hata kutumia akili yako hata kdg? Na kwenye uzi huu utayaona mambumbumbu yanacoment jesy kali [emoji23][emoji23].

Jifunze kutumia akili shabiki wa Simba mwenzangu, acha ujinga.
Umeambiwa jezi ni gwanda za jeshi😂😂😂 unataka jezi kama unaenda vitani
 
Simba timu kubwa inahitaji vitu vya kuenenda na hadhi ya club.Mimi navaa ya Ihefu,Mwaka huu uzi hatunaa.Mtani atapiga hela sana kwa ubunifu wa Ngowi.Ila hapa kwetu ni vunjabei haswaa.Kanyaga twende.Gari inaamkia kwenye gia.
 
Ameshatoa sababu za kutoweka logo ya Mo? Huyu jamaa yangu atakula hasara kwa sababu ya kukurupuka.
Hili la safari hii haliwezi kumuacha Salama. Safari iliyopita alionewa huruma kwa kisingizio cha kubadilisha mdhamini kifuani. Safari hii anazindua jezi dukani hazipo. Timu inacheza mechi ya kwanza tarehe 11 jezi dukani zitafika tarehe 15!!
 
Hili la safari hii haliwezi kumuacha Salama. Safari iliyopita alionewa huruma kwa kisingizio cha kubadilisha mdhamini kifuani. Safari hii anazindua jezi dukani hazipo. Timu inacheza mechi ya kwanza tarehe 11 jezi dukani zitafika tarehe 15!!
Mbona HIMARS, The Boss , na MoseKing wanasema kuwa MeTl udhamini wake unaishia tu ndani na sio kimataifa.
 
Hiyo low quality ipi??? na ulinunua wapi?? nina jezi zote tatu za Simba m- bet na zina quality nzuri tuu. au wewe ni Utopolo

Kwenye ukweli kubali mdg angu
Kwenye ubunifu wa jezi vyura wapo far better than us
 
Back
Top Bottom