Huu ni udhihirisho kuwa hawa wafanya baishara wachanga, ambao wamepata pesa kwa njia za mibahatisho, huwa hawana subira inapokuja kwenye suala la kuendeleza biashara zao na zabuni mbalimbali walizopata na wanazo tarajia kupata! Kulikuwa na uharaka gani wa huyu mzabuni kuchapisha/kutengeneza jezi mpya kabla ya kuafikiana na mtoa zabuni wake? Nadhani huu ni uharaka usio kuwa wa lazima. Hiyo hasara ibebe tu, kwani kama ungelikuwa na oda thabiti kutoka kwa mzabuni wako na yeye ghafla akabadili nembo, basi hiyo hasara ingekuwa kwa mzabuni siyo mkanadarasi - wewe! Let us learn to be patient guys when it comes to dealing with our fellows!Mzabuni wa jezi za klabu ya Simba Fred Ngajiro 'Vunjabei, amevunja ukimya na kufichua kuwa amepata hasara ya Dola 150,000 (zaidi ya Sh349 milioni).
Hasara hiyo imetokana na kubadilisha mfumo wa jezi za awali kufuatia kubadilishwa kwa mdhamini kutoka SportPesa na kuwa M-Bet. https://t.co/BZyTXc5Ux3
Why miscommunication? Why? Mbaya au nzuri zaidi ni kwamba wote wako hapa Mzizima. Je mmoja angekuwa Beijing na mwingine hapa Mzizizma si ndiyo ingekuwa balaa zaidi! Wafanya biashara wadogo au wachanga wapunguze papara when it comes to handling time - sensitive orders!Hapa naona miscommunication kati ya taasisi mbili hizi
Binafsi napata ukakasi kidogo, kabla ya vunjabei ku-escalate this matter publicly, hii ishu haikiweza kuwa ku-communicated internally na kushughulikiwa vyema?Hapa naona miscommunication kati ya taasisi mbili hizi
Very embarrassing -Why miscommunication? Why? Mbaya au nzuri zaidi ni kwamba wote wako hapa Mzizima. Je mmoja angekuwa Beijing na mwingine hapa Mzizizma si ndiyo ingekuwa balaa zaidi! Wafanya biashara wadogo au wachanga wapunguze papara when it comes to handling time - sensitive orders!
NakaziaWatajuana wenyewe. kwani alipopata faida alituambia ?
HAPO SASA!Wakati mwaka jana anapata faida mbona hakusema alipata kiasi gani?
Muongo huyo kahonga hela mpaka kapitiliza na anajigamba anaona kuhonga ndo ujanja.Mzabuni wa jezi za klabu ya Simba Fred Ngajiro 'Vunjabei, amevunja ukimya na kufichua kuwa amepata hasara ya Dola 150,000 (zaidi ya Sh349 milioni).
Hasara hiyo imetokana na kubadilisha mfumo wa jezi za awali kufuatia kubadilishwa kwa mdhamini kutoka SportPesa na kuwa M-Bet. https://t.co/BZyTXc5Ux3