Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna maswali mengi ya kujiulizaWhy miscommunication? Why? Mbaya au nzuri zaidi ni kwamba wote wako hapa Mzizima. Je mmoja angekuwa Beijing na mwingine hapa Mzizizma si ndiyo ingekuwa balaa zaidi! Wafanya biashara wadogo au wachanga wapunguze papara when it comes to handling time - sensitive orders!
Aliongea manara watu wakamuona mjing!! Yaani kwa kweli hat Mimi yule mwanamke simkubali mnoyani suala la jezi inaonesha namna gani hii CLUB haipo serious na hili jamboo sio tu linaaribu image ya uongozi ila inaonesha hii club imeshamilikiwa na watu flani specificall BABRA anafanya anachojisikiaaa
Mwaka huu vunjabei ndo ametoa jersey za ovyo na aliprint mapema ...Baada ya kuaminiwa mara ya mwanza akawa na haraka ya kuleta maronya .Mungu si athumani!! Ishu ikabumaKuna maswali mengi ya kujiuliza
1. Vunjabei alitengeneza jezi bila kuwahusisha wateja wake?
2. Simba walikua hawana mpango wa kuachana na Sportpesa, mkataba wa Mbet umekuja ghafla?
3.Vunjabei haku manufacture jezi za sample kwanza ili Simba wakazipitishe wampe go ahead?
NOMA sana hapa naonaa vunja alitoa pesa kupata tenda alafu akatengenezaa malonyaaaaKuna maswali mengi ya kujiuliza
1. Vunjabei alitengeneza jezi bila kuwahusisha wateja wake?
2. Simba walikua hawana mpango wa kuachana na Sportpesa, mkataba wa Mbet umekuja ghafla?
3.Vunjabei haku manufacture jezi za sample kwanza ili Simba wakazipitishe wampe go ahead?
Very good questions.Kuna maswali mengi ya kujiuliza
1. Vunjabei alitengeneza jezi bila kuwahusisha wateja wake?
2. Simba walikua hawana mpango wa kuachana na Sportpesa, mkataba wa Mbet umekuja ghafla?
3.Vunjabei haku manufacture jezi za sample kwanza ili Simba wakazipitishe wampe go ahead?
Mfanyabiashara huyo alisema, mkataba mpya ulipokuja alikuwa ameshadizaini jezi za mdhamini wa awali, hivyo kumtia hasara ya kiasi hicho cha fedha za kuweka mdhamini mpya.NOMA sana hapa naonaa vunja alitoa pesa kupata tenda alafu akatengenezaa malonyaaaa
Nakumbuka Huu mkataba Uliingiwa Kwa Mbwembwe Sana. [emoji3][emoji3]“Simba waliponipigia simu kuniambia juu ya kusitisha uzalishaji wa jezi kutokana na mkataba mpya basi ikanibidi na mimi nipige simu zoezi lisitishwe jambo ambalo limefanya jezi zichelewe,” alisema Vunjabei na kuongeza;
“Mkataba na mdhamini wa sasa ulikuwa mzuri na ndio maana tuliamua kutulia ili kuzungumza na kuweka mambo sawa kwa kuwa zile ni pesa za wanasimba, kitendo cha kukurupuka kisa mkataba una pesa ndefu halafu mkaharibu sio sawa.”
Vunjabei alisema athari ya kuchelewa kwa jezi ni kitendo cha wanasimba kukwazika lakini hakuwa na namna aliona ni bora kuchelewa kuvaa jezi halafu mkataba ukawa mzuri.
Hata hivyo, hakuna Biashara isiyoKuwa na hasara. Hiyo hasara ni ndogo sana ukilinganisha na faida atakayovuna ujue.Why miscommunication? Why? Mbaya au nzuri zaidi ni kwamba wote wako hapa Mzizima. Je mmoja angekuwa Beijing na mwingine hapa Mzizizma si ndiyo ingekuwa balaa zaidi! Wafanya biashara wadogo au wachanga wapunguze papara when it comes to handling time - sensitive orders!
Haya maswali yakipata majibu tunafunga mjadala.Kuna maswali mengi ya kujiuliza
1. Vunjabei alitengeneza jezi bila kuwahusisha wateja wake?
2. Simba walikua hawana mpango wa kuachana na Sportpesa, mkataba wa Mbet umekuja ghafla?
3.Vunjabei haku manufacture jezi za sample kwanza ili Simba wakazipitishe wampe go ahead?
Maswali haya yakipata majibu na Kama majibu ni NDIO basi vunja bei hakupaswa kupata hasara yenye. Club ndio ilipaswa kupata hiyo lossKuna maswali mengi ya kujiuliza
1. Vunjabei alitengeneza jezi bila kuwahusisha wateja wake?
2. Simba walikua hawana mpango wa kuachana na Sportpesa, mkataba wa Mbet umekuja ghafla?
3.Vunjabei haku manufacture jezi za sample kwanza ili Simba wakazipitishe wampe go ahead?
Hili jamaa Ni jinga San Kuna sehem niliona anasem alizomesha bint mmoja had phd na Bado mwanmke akasalitiwaa tu mpuuz sanaMuongo huyo kahonga hela mpaka kapitiliza na anajigamba anaona kuhonga ndo ujanja.
View attachment 2324431