Kumfumaster97
JF-Expert Member
- Sep 18, 2024
- 354
- 372
ushamaliza ,acha uvivu tupe maelezo yenye nyama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli kabisa, wala huwezi funika cctv camera na plasta maana huna unachohofia, yeyote aje awe kitayose au ice cream we leta tu.Tuwakumbushe timu ya Singida ilivamia mazoezi ya Yanga lakini Yanga hawakua na hofu na waliweza kuwa Kanda Singida.
Ukiwa na timu imara uwanjani hubabaishwi na vitu vidogovidogo.
Kalumekenge hujui Simba ndio waliomba mechi isiahorishwe na ichezwe ikiwa sehemu ya mazoezi yao.Hizo fujo zimeratibiwa na Simba ili mechi iahirishwe maana wachezaji ndio wametoka break hawako fiti. TFF msiingie mtegoni.
Mechi haikuwapo kwenye ratiba, ilisogezwa mbele. Simba ndio waliiomba TFF wairudishe leoHizo fujo zimeratibiwa na Simba ili mechi iahirishwe maana wachezaji ndio wametoka break hawako fiti. TFF msiingie mtegoni.
Wala huwezi kujidungaTuwakumbushe timu ya Singida ilivamia mazoezi ya Yanga lakini Yanga hawakua na hofu na waliweza kuwa Kanda Singida.
Ukiwa na timu imara uwanjani hubabaishwi na vitu vidogovidogo.
Huyu sasa anataka aharibu hajui kwamba adhari za simba na yanga nchi hii nikubwa kuliko hata za maswala ya kisiasa
Wewe ni choko deliciousHizo fujo zimeratibiwa na Simba ili mechi iahirishwe maana wachezaji ndio wametoka break hawako fiti. TFF msiingie mtegoni.
yangaShida nini
mambo ya yanga hayo usiwafundishe ujingaSimba walikuwa wanaweka uchawi uwanjani
Walipeleka mkojo na kumimina uwanjani
hao pamba lazma wagongwe tatu na kisha wanapanguswa nyuma na cotton wool baada ya maumivuWangevujnjwa hata miguu wachezaji wasimba pamba naomba mnivunjie miguu hao wachezaji uchwara wamewataka wenyewe kenge hao
Hizo vurugu kali mbona hazionekani sasa kwenye hii video clip uliyoruwekea hapa! Au kuna video clip nyingine umeisahau?Vurugu zimetokea wakati Simba SC ikifanya mazoezi yake ya mwisho kwenye Uwanja wa CCM Kirumba Mwanza Kuelekea Mchezo wa Kesho wa Ligi Kuu Tanzania Bara kati ya Pamba Fc dhidi ya Simba SC.
Wakati vurugu hizo zikiendelea zimepelekea mazoezi kushindwa kuendelea.
Soma Pia: Ahmed Ally awahofia Pamba Jiji, awaita Wanasimba CCM Kirumba. "Hakuna cha uzalendo mbele ya Simba, achana na Pamba. Tukipoteza kuna watu watanufaika"
Unguza kumuogopa mnyama acha dawa ikuingieWangevujnjwa hata miguu wachezaji wasimba pamba naomba mnivunjie miguu hao wachezaji uchwara wamewataka wenyewe kenge hao
We topolo tuwalete walima asaliTuwakumbushe timu ya Singida ilivamia mazoezi ya Yanga lakini Yanga hawakua na hofu na waliweza kuwa Kanda Singida.
Ukiwa na timu imara uwanjani hubabaishwi na vitu vidogovidogo.
Simba na yanga acheni utotoVurugu zimetokea wakati Simba SC ikifanya mazoezi yake ya mwisho kwenye Uwanja wa CCM Kirumba Mwanza Kuelekea Mchezo wa Kesho wa Ligi Kuu Tanzania Bara kati ya Pamba Fc dhidi ya Simba SC.
Wakati vurugu hizo zikiendelea zimepelekea mazoezi kushindwa kuendelea.
Soma Pia: Ahmed Ally awahofia Pamba Jiji, awaita Wanasimba CCM Kirumba. "Hakuna cha uzalendo mbele ya Simba, achana na Pamba. Tukipoteza kuna watu watanufaika"