Haya siyo ya kushangaa kwenye nchi ya kusifu na kuabudu.Huwezi ukapanda tembele utegemee uvune mchicha abadani.
๐Wakoloni waliwahisha sana kutukabidhi nchi.Sipati picha wazungu waliofadhili huu mradi huko waliko wanaangalia maendeleo ya mradi wanasema hiiiii mwanawane wafrika are piece of shit๐๐๐
๐๐๐SIKU TUKIWEZA KUUENDESHA HUU MRADI NA UKASIMAMA KWA ANGALAU MIAKA MITANO.HIYO NDIO SIKU TUTAWEZA KILA KITU,,,,AMEN!!!!