Vurugu Kituo cha Mwendokasi Kimara Temboni, abiria ashambuliwa

Haya siyo ya kushangaa kwenye nchi ya kusifu na kuabudu.Huwezi ukapanda tembele utegemee uvune mchicha abadani.


๐Ÿ“ŒWakoloni waliwahisha sana kutukabidhi nchi.Sipati picha wazungu waliofadhili huu mradi huko waliko wanaangalia maendeleo ya mradi wanasema hiiiii mwanawane wafrika are piece of shit
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

๐Ÿ“Œ๐Ÿ“Œ๐Ÿ“ŒSIKU TUKIWEZA KUUENDESHA HUU MRADI NA UKASIMAMA KWA ANGALAU MIAKA MITANO.HIYO NDIO SIKU TUTAWEZA KILA KITU,,,,AMEN!!!!
 
Si jambo sahihi kwa mtoa huduma kufanya alichofanya, huwez pgan na mteja wako , hao wanapasw kuw fired kbsa especial derevaa aliingilia majukumu ya mlinz
Just imagine huyo dereva angeumia angeendesha gari!? Kwa nini dereva ajihusishe na kazi y walinzi!? Ina maana hayajui majukumu yake!? Ni wazi anatakiwa afukuzwe kazi mara moja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ