Vurugu Kituo cha Mwendokasi Kimara Temboni, abiria ashambuliwa

Vurugu Kituo cha Mwendokasi Kimara Temboni, abiria ashambuliwa

Nimeshawahi kuishi kwenye nchi yenye Umafia mwingi, undava mwingi, lakini inapokuja kupanga foleni Kwa ajiri ya usafiri, basi hata Gangstas ama mshenzi na muhuni yoyote, na anaweza kuwa na Bunduki kiunoni, atapanga foleni, hata kama foleni ni ndefu kiasi Gani, ila atapanga foleni.

Gari ikija, Ataingia abiria mmoja mmoja kwenye Bus bila vurugi, Wala haraka, ni polepole
Wanafundishwa tangu school bus za kindergarten ndo maana, sasa huku kwetu aloo
 
Usafiri wa umma Tanzania ni laana na umasikini, basi tu hatuna pesa za kununua vitz na passo. Halafu anakuja mtu anasema vitz na Passo sio gari..
 
Wakuu lile teke picha namba mbili mmelizingatia lakini jamaa kagusa mpaka kongosho pale
 
Vurugu zimeibuka katika Kituo cha Mabasi ya Mwendokasi cha Kimara Temboni, baada ya kile kinachodaiwa kuwa ni ukiukwaji wa utaratibu wa kupanga mstari kwa abiria.

Tukio hilo limetokea leo Februari 25,2025 majira ya saa 8:40 asubuhi ambapo lilianza pale abiria walipovunja mstari rasmi wa upanda wenye magari hayo na kuanzisha mstari mwingine baada ya basi walilokuwa wakilikimbilia kujaa. Hali hiyo ilisababisha mvutano kati ya abiria na maafisa wa usafiri wa mabasi hayo, huku baadhi ya abiria wakidai kuwa hawawezi kupangiwa namna ya kupanda kwenye basi.

Katika purukushani hizo, abiria mmoja alijeruhiwa baada ya kupigwa na maafisa wa Mwendokasi wakishirikiana na dereva wa basi hilo liifika atika kito hicho lenye namba za usajili T 544 DWR.

Mwandishi wa Nipashe Digital, alikuwa mmoja wa abiria katika kituo hicho na kushuhudia tukio hilo. Mmoja wa abiria alijaribu kutuliza hali kwa kuwaomba maafisa hao pamoja na dereva wampeleke abiria huyo waliokuwa wakimshamulia kituo cha polisi badala ya kumpiga. Dereva wa basi hilo alishuka kwenye gari na kumkaba abiria uyo aliyetoa shauri, jambo lililozua taharuki zaidi.

Tukio hilo limezua mjadala kuhusu changamoto za huduma ya Mwendokasi, ambapo abiria wengi wamekuwa wakilalamikia ucheleweshaji wa magari na msongamano mkubwa wa abiria hasa wakati wa asubuhi.

Aidha, kumekuwa na malalamiko kuhusu tabia ya baadhi ya maafisa wa taasisi za umma kujichukulia sheria mkononi na kutumia nguvu kupita kiasi, jambo ambalo linakinzana na misingi ya utoaji wa huduma kwa wananchi.View attachment 3249007View attachment 3249008View attachment 3249009
Hizi Mwendokasi safari zake hazikupangwa kutokana na mahitaji. Wamenakili vituo vya daladala na wao wakapita humohumo. Ingekuwa suluhisho kama wangenakili vituo vya kuanzia au kuishia au kugeuzia vilivyotumika kabla daladala hazijapakwa mikanda ya njia.
Mfano huku kwetu Dar Barabara ya Nyerere, kuna daladala zilikuwa zinaanzia/zinaishia/zinageukia Vingunguti, Uwanja wa Ndege, Banana, Mombasa na Gongo la Mboto. Hizi terminal za kuanzia/kuishia/kugeukia ndizo zilipaswa kutambulishwa kwenye Mwendokasi. Nina maana Mwendokasi zilipaswa kuanzia/kuishia/kugeukia vituo hivyo nilivyotaja. Kusingekuwa na vurugu vituoni
 
Hii ntaiweka kwenye cover la movie yangu
 

Attachments

  • Screenshot_20250225-171136_1.jpg
    Screenshot_20250225-171136_1.jpg
    285.9 KB · Views: 1
Vurugu zimeibuka katika Kituo cha Mabasi ya Mwendokasi cha Kimara Temboni, baada ya kile kinachodaiwa kuwa ni ukiukwaji wa utaratibu wa kupanga mstari kwa abiria.

Tukio hilo limetokea leo Februari 25,2025 majira ya saa 8:40 asubuhi ambapo lilianza pale abiria walipovunja mstari rasmi wa upanda wenye magari hayo na kuanzisha mstari mwingine baada ya basi walilokuwa wakilikimbilia kujaa. Hali hiyo ilisababisha mvutano kati ya abiria na maafisa wa usafiri wa mabasi hayo, huku baadhi ya abiria wakidai kuwa hawawezi kupangiwa namna ya kupanda kwenye basi.

Katika purukushani hizo, abiria mmoja alijeruhiwa baada ya kupigwa na maafisa wa Mwendokasi wakishirikiana na dereva wa basi hilo liifika atika kito hicho lenye namba za usajili T 544 DWR.

Mwandishi wa Nipashe Digital, alikuwa mmoja wa abiria katika kituo hicho na kushuhudia tukio hilo. Mmoja wa abiria alijaribu kutuliza hali kwa kuwaomba maafisa hao pamoja na dereva wampeleke abiria huyo waliokuwa wakimshamulia kituo cha polisi badala ya kumpiga. Dereva wa basi hilo alishuka kwenye gari na kumkaba abiria uyo aliyetoa shauri, jambo lililozua taharuki zaidi.

Tukio hilo limezua mjadala kuhusu changamoto za huduma ya Mwendokasi, ambapo abiria wengi wamekuwa wakilalamikia ucheleweshaji wa magari na msongamano mkubwa wa abiria hasa wakati wa asubuhi.

Aidha, kumekuwa na malalamiko kuhusu tabia ya baadhi ya maafisa wa taasisi za umma kujichukulia sheria mkononi na kutumia nguvu kupita kiasi, jambo ambalo linakinzana na misingi ya utoaji wa huduma kwa wananchi.View attachment 3249007View attachment 3249008View attachment 3249009
Mwendokasi ni usafiri wa kimaskini mno bora waurudishe daladala route zote watu wajichagulie
 
Kuna picha moja njemba karusha mteke wa kwenye bandama afu jamaa kaupokea kama boya hahah burudani sana
 
Vurugu zimeibuka katika Kituo cha Mabasi ya Mwendokasi cha Kimara Temboni, baada ya kile kinachodaiwa kuwa ni ukiukwaji wa utaratibu wa kupanga mstari kwa abiria.

Tukio hilo limetokea leo Februari 25,2025 majira ya saa 8:40 asubuhi ambapo lilianza pale abiria walipovunja mstari rasmi wa upanda wenye magari hayo na kuanzisha mstari mwingine baada ya basi walilokuwa wakilikimbilia kujaa. Hali hiyo ilisababisha mvutano kati ya abiria na maafisa wa usafiri wa mabasi hayo, huku baadhi ya abiria wakidai kuwa hawawezi kupangiwa namna ya kupanda kwenye basi.

Katika purukushani hizo, abiria mmoja alijeruhiwa baada ya kupigwa na maafisa wa Mwendokasi wakishirikiana na dereva wa basi hilo liifika atika kito hicho lenye namba za usajili T 544 DWR.

Mwandishi wa Nipashe Digital, alikuwa mmoja wa abiria katika kituo hicho na kushuhudia tukio hilo. Mmoja wa abiria alijaribu kutuliza hali kwa kuwaomba maafisa hao pamoja na dereva wampeleke abiria huyo waliokuwa wakimshamulia kituo cha polisi badala ya kumpiga. Dereva wa basi hilo alishuka kwenye gari na kumkaba abiria uyo aliyetoa shauri, jambo lililozua taharuki zaidi.

Tukio hilo limezua mjadala kuhusu changamoto za huduma ya Mwendokasi, ambapo abiria wengi wamekuwa wakilalamikia ucheleweshaji wa magari na msongamano mkubwa wa abiria hasa wakati wa asubuhi.

Aidha, kumekuwa na malalamiko kuhusu tabia ya baadhi ya maafisa wa taasisi za umma kujichukulia sheria mkononi na kutumia nguvu kupita kiasi, jambo ambalo linakinzana na misingi ya utoaji wa huduma kwa wananchi.View attachment 3249007View attachment 3249008View attachment 3249009
Muuza huduma anampigq mteja wake!
 
Vurugu zimeibuka katika Kituo cha Mabasi ya Mwendokasi cha Kimara Temboni, baada ya kile kinachodaiwa kuwa ni ukiukwaji wa utaratibu wa kupanga mstari kwa abiria.

Tukio hilo limetokea leo Februari 25,2025 majira ya saa 8:40 asubuhi ambapo lilianza pale abiria walipovunja mstari rasmi wa upanda wenye magari hayo na kuanzisha mstari mwingine baada ya basi walilokuwa wakilikimbilia kujaa. Hali hiyo ilisababisha mvutano kati ya abiria na maafisa wa usafiri wa mabasi hayo, huku baadhi ya abiria wakidai kuwa hawawezi kupangiwa namna ya kupanda kwenye basi.

Katika purukushani hizo, abiria mmoja alijeruhiwa baada ya kupigwa na maafisa wa Mwendokasi wakishirikiana na dereva wa basi hilo liifika atika kito hicho lenye namba za usajili T 544 DWR.

Mwandishi wa Nipashe Digital, alikuwa mmoja wa abiria katika kituo hicho na kushuhudia tukio hilo. Mmoja wa abiria alijaribu kutuliza hali kwa kuwaomba maafisa hao pamoja na dereva wampeleke abiria huyo waliokuwa wakimshamulia kituo cha polisi badala ya kumpiga. Dereva wa basi hilo alishuka kwenye gari na kumkaba abiria uyo aliyetoa shauri, jambo lililozua taharuki zaidi.

Tukio hilo limezua mjadala kuhusu changamoto za huduma ya Mwendokasi, ambapo abiria wengi wamekuwa wakilalamikia ucheleweshaji wa magari na msongamano mkubwa wa abiria hasa wakati wa asubuhi.

Aidha, kumekuwa na malalamiko kuhusu tabia ya baadhi ya maafisa wa taasisi za umma kujichukulia sheria mkononi na kutumia nguvu kupita kiasi, jambo ambalo linakinzana na misingi ya utoaji wa huduma kwa wananchi.View attachment 3249007View attachment 3249008View attachment 3249009
Ni kichapo tu!
 
Back
Top Bottom