Mnyenz
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 2,933
- 8,112
Wanaongezeka vipi na pale ni kambini?Kwani watu wakiongezeka vivunjwe na kujengwa vingine?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaongezeka vipi na pale ni kambini?Kwani watu wakiongezeka vivunjwe na kujengwa vingine?
Kwakweli hili jambo linashangaza sanaHalafu wako bize wanajenga mfupa mwingine njia ya bagamoyo.
Hivi kwa nini wasingejenga njia sita au nane kabisa mpaka pale bunju.
Mtu kutoka bunju kuja mwenge unatumia dk 8 tu.
Nje ya mada:
Hivi mainjinia wa mwendokasi, kuna ulazima upi wa kujenga vituo vireeefu maeneo ambayo hayana historia ya kuwa na abiria wengi?
Mfano hivyo mnavyojenga lugalo.
Kareti hizoKuna hiyo picha mwamba kakaza hadi macho akiwa kwenye harakati za kushambulia kwa teke, imenivutia sana.
Duh!...Usafiri wa umma ndani ya hili Jiji ni changamoto kweli kweli.Vurugu zimeibuka katika Kituo cha Mabasi ya Mwendokasi cha Kimara Temboni, baada ya kile kinachodaiwa kuwa ni ukiukwaji wa utaratibu wa kupanga mstari kwa abiria.
Tukio hilo limetokea leo Februari 25,2025 majira ya saa 8:40 asubuhi ambapo lilianza pale abiria walipovunja mstari rasmi wa upanda wenye magari hayo na kuanzisha mstari mwingine baada ya basi walilokuwa wakilikimbilia kujaa. Hali hiyo ilisababisha mvutano kati ya abiria na maafisa wa usafiri wa mabasi hayo, huku baadhi ya abiria wakidai kuwa hawawezi kupangiwa namna ya kupanda kwenye basi.
Katika purukushani hizo, abiria mmoja alijeruhiwa baada ya kupigwa na maafisa wa Mwendokasi wakishirikiana na dereva wa basi hilo liifika atika kito hicho lenye namba za usajili T 544 DWR.
Mwandishi wa Nipashe Digital, alikuwa mmoja wa abiria katika kituo hicho na kushuhudia tukio hilo. Mmoja wa abiria alijaribu kutuliza hali kwa kuwaomba maafisa hao pamoja na dereva wampeleke abiria huyo waliokuwa wakimshamulia kituo cha polisi badala ya kumpiga. Dereva wa basi hilo alishuka kwenye gari na kumkaba abiria uyo aliyetoa shauri, jambo lililozua taharuki zaidi.
Tukio hilo limezua mjadala kuhusu changamoto za huduma ya Mwendokasi, ambapo abiria wengi wamekuwa wakilalamikia ucheleweshaji wa magari na msongamano mkubwa wa abiria hasa wakati wa asubuhi.
Aidha, kumekuwa na malalamiko kuhusu tabia ya baadhi ya maafisa wa taasisi za umma kujichukulia sheria mkononi na kutumia nguvu kupita kiasi, jambo ambalo linakinzana na misingi ya utoaji wa huduma kwa wananchi.View attachment 3249007View attachment 3249008View attachment 3249009
Inaonekana huyo mwenye red ndio mchina hasa wa kamafuu kunfuuView attachment 3249022
Naomba Tafsiri ya maneno yaliyo mgongo mwa huyu aliyevaa tsheti nyekundu!
Kamkalisha kwenye lami...mrusha teke..!Inaonekana huyo mwenye red ndio mchina hasa wa kamafuu kunfuu
Nimeona huyu mchina mweusi utadhani alijiandaa kabisa kimapambanaKamkalisha kwenye lami...mrusha teke..!
Halafu naona kwenye picha inayofuata...ni kama anawakabili hawa wawili wenye mashati ya bluu...! Sijui watakuwa wafanyakazi wa MwendoKasi(BRT)?Nimeona huyu mchina mweusi utadhani alijiandaa kabisa kimapambano
Kujichukulia sheria mkononi ni janga.....Vurugu zimeibuka katika Kituo cha Mabasi ya Mwendokasi cha Kimara Temboni, baada ya kile kinachodaiwa kuwa ni ukiukwaji wa utaratibu wa kupanga mstari kwa abiria.
Tukio hilo limetokea leo Februari 25,2025 majira ya saa 8:40 asubuhi ambapo lilianza pale abiria walipovunja mstari rasmi wa upanda wenye magari hayo na kuanzisha mstari mwingine baada ya basi walilokuwa wakilikimbilia kujaa. Hali hiyo ilisababisha mvutano kati ya abiria na maafisa wa usafiri wa mabasi hayo, huku baadhi ya abiria wakidai kuwa hawawezi kupangiwa namna ya kupanda kwenye basi.
Katika purukushani hizo, abiria mmoja alijeruhiwa baada ya kupigwa na maafisa wa Mwendokasi wakishirikiana na dereva wa basi hilo liifika atika kito hicho lenye namba za usajili T 544 DWR.
Mwandishi wa Nipashe Digital, alikuwa mmoja wa abiria katika kituo hicho na kushuhudia tukio hilo. Mmoja wa abiria alijaribu kutuliza hali kwa kuwaomba maafisa hao pamoja na dereva wampeleke abiria huyo waliokuwa wakimshamulia kituo cha polisi badala ya kumpiga. Dereva wa basi hilo alishuka kwenye gari na kumkaba abiria uyo aliyetoa shauri, jambo lililozua taharuki zaidi.
Tukio hilo limezua mjadala kuhusu changamoto za huduma ya Mwendokasi, ambapo abiria wengi wamekuwa wakilalamikia ucheleweshaji wa magari na msongamano mkubwa wa abiria hasa wakati wa asubuhi.
Aidha, kumekuwa na malalamiko kuhusu tabia ya baadhi ya maafisa wa taasisi za umma kujichukulia sheria mkononi na kutumia nguvu kupita kiasi, jambo ambalo linakinzana na misingi ya utoaji wa huduma kwa wananchi.View attachment 3249007View attachment 3249008View attachment 3249009
Kweli kabisa.Kero kubwa ni kutoleta magari kwa wakati vituoni, mtu anasimama dk 40 na gari ikija ishajaza kupita kiasi.
Wanatakiwa basi zingine zianzie katikati ya vituo kupunguza abiria sio kila basi linaanzia mwanzo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ni hatari!
Huyo jamaa mwingine kaona afadhali atulie zake mtaloni huko.
Kabisaa yaanTutafute hela sana wakuu,,,, ! Inauma sana kudhalilika! Mama/baba umeaga unaenda kazn unaenda kupigika kwenye vituo na usafiri, ni kadhia kubwa sana
Huu ushauri ni mzuri kabisa.Kero kubwa ni kutoleta magari kwa wakati vituoni, mtu anasimama dk 40 na gari ikija ishajaza kupita kiasi.
Wanatakiwa basi zingine zianzie katikati ya vituo kupunguza abiria sio kila basi linaanzia mwanzo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nimeona huyu mchina mweusi utadhani alijiandaa kabisa kimapambano