Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani mtu akikosea kuandika huelewi?Kisitarabu[emoji777]
Kistaarabu[emoji818]
Serekali[emoji777]
Serikali [emoji818]
Kajifunze kwanza jinsi ya kuyaandika hayo maneno kabla sijakuuliza unaposema siasa za 'kisitarabu' unamaanisha nini.
Mix na Konyagi kabisa alafu shushia supu ya utumbo.Ngoja nikanywe zangu chai
Yaani wanapitwa mbinu hadi na Mzee Rungwe, wao wako kibabebabe tu!! Na Mzee Rungwe ndiyo atakua no mbili kwenye Matokeo ya Uraisi, utakuja niambia!!Na hiki ndio kinawafanya wakose kura na kumalizika kisiasa kabisa.
Bora ulivyoamua kua Mwalimu wa Kiswahili,maana huko CDM ungepoteza muda wako bure!!Kisitarabu[emoji777]
Kistaarabu[emoji818]
Serekali[emoji777]
Serikali [emoji818]
Kajifunze kwanza jinsi ya kuyaandika hayo maneno kabla sijakuuliza unaposema siasa za 'kisitarabu' unamaanisha nini.
Mtu akikosa hoja ya msingi, huwa anatafuta pakutokea,mpotezee tu!!Kwani mtu akikosea kuandika huelewi?
Hapana kurarahisisha unakunywa konyagi na chapati.yaani unaewa na kushiba hapo hapoMix na Konyagi kabisa alafu shushia supu ya utumbo.
Mimi naweza nikamuelewa hata pamoja na kukosea.Mtu akikosa hoja ya msingi, huwa anatafuta pakutokea,mpotezee tu!!
Kwani mtu akikosea kuandika huelewi?
Ulikuwepo? mbona tuliokuwepo hapo Zakhiem hatukuziona hizo vurugu!Chadema wakiongozwa na Mwenyekiti waliwaletea TBC vurugu