Uchaguzi 2020 Vurugu na kukosa ustarabu wa kisiasa kutaikosesha kura CHADEMA

Kisitarabu[emoji777]
Kistaarabu[emoji818]

Serekali[emoji777]
Serikali [emoji818]

Kajifunze kwanza jinsi ya kuyaandika hayo maneno kabla sijakuuliza unaposema siasa za 'kisitarabu' unamaanisha nini.
Kwani mtu akikosea kuandika huelewi?
 
Kisitarabu[emoji777]
Kistaarabu[emoji818]

Serekali[emoji777]
Serikali [emoji818]

Kajifunze kwanza jinsi ya kuyaandika hayo maneno kabla sijakuuliza unaposema siasa za 'kisitarabu' unamaanisha nini.
Bora ulivyoamua kua Mwalimu wa Kiswahili,maana huko CDM ungepoteza muda wako bure!!
 
Nimekusahihisha na kisha nimekupa assignment ueleze unamaanisha nini unaposema siasa za 'kisitarabu'?

Nadhani ni wewe uliyekosa hoja na kuamua kujibu masahihisho yangu badala ya hoja iliyopo hapo.
Mtu akikosa hoja ya msingi, huwa anatafuta pakutokea,mpotezee tu!!
Mimi naweza nikamuelewa hata pamoja na kukosea.

Mashaka yangu ni je, yeye kama hawezi kuandika kwa ufasaha, anaelewa anacho kizungumza? Ndiyo maana nimemuuliza anamaanisha nini anaposema kampeni za 'kisitarabu'?
Kwani mtu akikosea kuandika huelewi?
 
Chadema wakiongozwa na Mwenyekiti waliwaletea TBC vurugu
Ulikuwepo? mbona tuliokuwepo hapo Zakhiem hatukuziona hizo vurugu!
Rejea Post tangu kabla TBC hawajafurumishwa nikiwashauri Chadema wawafukuze TBC.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…