Vurugu Umbwe-Lyamungo: Miaka 12 baadae

Kwenye hilo kundi alikuwepo kijana mmoja mlokole, nasikia alienda segerema high school wengine walitoka na zero zao
 

Dah namkumbuka huyo jamaa alikua form 5 HGE
Uji fongo
 
Aisee huu ulikuwa ni ujinga sn. Nimemaliza Kibohehe 1983... imagine kuna siku tulienda kabisa Kiborloni tukapanda mpaka njia ya kwenda Kolila kwa lengo la fujo tu.
 
Nini maana ya kukata mkia mkuu??
 
Hujafikiria juu ya Golikipa SHABANI aliyeugua mpka kufa 2008?Tuliandamana mpka kwa mkuu wa mkoa...tukasambaratishwa ktk shule za kata..mpka leo sidhani kama kuna o level pale Lyaboys
Walirudishwa, walengwa wa kufukuzwa ni Nyie HAPO, mulivyoondoka madarasa mengine form 1 ya kipindi kile wakaenda form 2 na wengine wakaja form 1. Huu ugomvi unaozungumziwa kwenye huu Uzi ni Baada ya Nyie kuondoka, hata guts za umbwe Kuja Lyamungo walizipata Baada ya Nyie kuondoka.
 
Moshi fujo za kwenye mpira ni nyingi sana na ilikuwa ni afadhali game ikapigwe neutral ground ili kuepuka vurugu
Kirima vs Sungu 2008

najua watakuepo humu
 
Tulienda kwenye mechi Msufini....Mechi haikuisha zilitokea fujo kali sana..Msufini kuna mademu wakali enzi hizo..2009 Lyamungo kama kawa tukawa tunatamba na kuingeaongea na mademu kibabe....Mpira haukuisha tukavamia kwenye lori kila sehemu chini ya gari kulikuwa na silaha...ndondo mbao visu fyekeo n.k...kiongozi alikuwa jamaa mmoja Anaitwa Juma...hakuna aliyejeruhiwa
Gari iliwashwa imapotea kama upepo
 
kulikuwa na hizi battle na ilikuwa ni balaa
1. Milambo Vs Tabora Boys
Milambo washatembeza sana kichapo kwa Tabora Boys mpaka Tabora Girls tena Tabora Girls walienda kumwaga hadi Divi.
2. Musoma Tech Vs Mara Sec
hii ilikuwa vita zaidi wa Wanchari na Wairege,wakikutana lazima kiumane
3. Tambaza Vs Azania
battle la watoto wa mjini hili
4. Musoma Day ( Morembe) Vs Songe
5. Zanaki Vs Jangwani

battle za kitaaluma
1. Mzumbe Vs KIBAHA vs Ilboru
 
Tukitaka kwendaa mbelee bwana haaa ,haa shetani atuziaa......mkemee mkemee ebwaana.....ebwanaa mkemee..
 
Mungu baba mwenyezi..bariki shule yetu..
ushushe mibaraka na matunda memaaaa..
tuwapo masomoni na kazi mbalimbali..
jina Umbwe lisifike.


Hapo mwamba unaimba huku umeweka mkono mmoja kifuani! Unakuta unaipenda shule kuliko hata Taifa.
Mti safi..show some love.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…