Vurugu za Bungeni: Tundu Lissu, Anastahili Adhabu Kali?!. Ni Mtundu Toka Shule!.

Vurugu za Bungeni: Tundu Lissu, Anastahili Adhabu Kali?!. Ni Mtundu Toka Shule!.

Dear School mate Tundu Lissu, najua umepitia makubwa. Welcome back home. Nakuomba sana upunguze kidogo kuliishi jina lako, usimsumbue huyu Mama kama ulivyomsumbuaga yule Madam, Mwenyekiti wako Mbowe tayari ameisha onyesha uungwana na ustaarabu mkubwa, wa hali ya juu@, please do the same!, tufanye siasa za kiungwana na kistaarabu. Kubebwa bebeka, ukipedwa pendeka, ukishikwa shikamana, ukiaminiwa jiaminishe!.
Yaliyopita si ndwele, samehe, tugange yajayo tusonge mbele!.
Welcome back home.
Your school mate
Pasco
Amsumbue kivipi ?...hakuna kitu kama hicho.
 
Amsumbue kivipi ?...hakuna kitu kama hicho.
Sio vibaya kumkumbusha maana kuna watu hawanaga shukrani, hata umtendee mema vipi, kwa vile alitendwa basi ni kuvurumisha makombora mwanzo mwisho!. Mwenzake Mbowe keshaonyesha ustaarabu, bado Lissu, ndio tunamsubiria Leo.
P
 
Wanabodi,

Nashauri huyu jamaa hivyo hivyo jinsi alivyo na lile jina lake la Tundu, sio jina tuu la kupewa, bali huyu bwana analiishi jina lake kwa kuwa ni mtundu kweli!, na haswa pale anapogundua kuwa katiba, sheria, taratibu na kanuni zinakiukwa na zinapopindishwa ili kufavour na kutoa mteremko kwa upande fulani

Paskali
(Skulu Meti wa Toto T).
Nimeyasikiliza mahojiano haya, namshauri haya ambayo Tundu Lissu anazungumza kwenye media kuhusu shambulio lake, na waliohusika ambao anawataja kwa majina, aende akawaripoti polisi ili uchunguzi wa kijinai ufanyike, asiporipoti aitwe athibitishe kauli zake za uhusika wa huyo mtu, akishindwa kuthibitisha, anastahili adhabu kali!.
Huwezi kumsingizia tuhuma nzito hivi mtu aliyelala usingizi wa milele na hawezi kujibu!.
P
 
Nimeyasikiliza mahojiano haya, namshauri haya ambayo Tundu Lissu anazungumza kwenye media kuhusu shambulio lake, na waliohusika ambao anawataja kwa majina, aende akawaripoti polisi ili uchunguzi wa kijinai ufanyike, asiporipoti aitwe athibitishe kauli zake za uhusika wa huyo mtu, akishindwa kuthibitisha, anastahili adhabu kali!.
Huwezi kumsingizia tuhuma nzito hivi mtu aliyelala usingizi wa milele na hawezi kujibu!.
P
Duh
 
Nimeyasikiliza mahojiano haya, namshauri haya ambayo Tundu Lissu anazungumza kwenye media kuhusu shambulio lake, na waliohusika ambao anawataja kwa majina, aende akawaripoti polisi ili uchunguzi wa kijinai ufanyike, asiporipoti aitwe athibitishe kauli zake za uhusika wa huyo mtu, akishindwa kuthibitisha, anastahili adhabu kali!.
Huwezi kumsingizia tuhuma nzito hivi mtu aliyelala usingizi wa milele na
Nimeyasikiliza mahojiano haya, namshauri haya ambayo Tundu Lissu anazungumza kwenye media kuhusu shambulio lake, na waliohusika ambao anawataja kwa majina, aende akawaripoti polisi ili uchunguzi wa kijinai ufanyike, asiporipoti aitwe athibitishe kauli zake za uhusika wa huyo mtu, akishindwa kuthibitisha, anastahili adhabu kali!.
Huwezi kumsingizia tuhuma nzito hivi mtu aliyelala usingizi wa milele na hawezi kujibu!.
P

hawezi kujibu
 
Wanabodi,

Juzi katika kikao cha bunge, Spika wa Bunge, Mhe. Anne Maklnda, alimtaja Mbunge wa Singida, Mhe. Tundu kama ndie Mbunge anayeongoza kuwa chanzo cha vurugu za bungeni, kwa kuongoza kwa utovu wa nidhamu, kuleta fujo na vurugu mbalimbali za bungeni, hali ambayo sio tuu inahatarisha hali ya usalama, utulivu na amani bungeni, bali pia kumevuruga hadi baadhi ya ratiba za Bunge kulikopelekea Spika kufuta ratiba za Bunge ambazo zilikwisha ridhiwa na kuingizwa kwenye Order Paper ikiwemo kupokea hoja binafsi za wabunge, kwa kilichoelezwa kuepuka vurugu zaidi!.

Jana kikao cha kamati ya Uongozi kimekaa kujadili hali ya usalama Bungeni na matokeo yake, tutayapata kesho asubuhi baada ya kipindi cha maswali na majibu ya papo kwa papo kwa PM!, ni hakika rungu la kiti, lazima litamshukia Mhe. Tundu Lissu!.

Swali la kwanza ambalo wengi mtapenda kujiuliza ni, ni jee ni kweli, Mhe. Tundu ni mtundu na ndie chanzo cha utovu wote wa nidhamu wa bunge hili la kumi kama anavyoelezwa na Madam Speaker?!, au huo utundu wa Mhe. Tundu, sio utundu bali ni kusimamia haki na uzingatiaji wa kanuni za uendeshaji wa Bunge kwa haki, kufuatia Madam Speaker kuonyesha udhaifu mkubwa katika kuliendesha Bunge kwa kutokuzingatia, sheria, taratibu na Kanuni?!.

Kwa vile mimi ni mmoja wa watu tunaomfahamu vizuri Mhe. Tundu, tangu zamani tukiwa shuleni, Ilboru (sio darasa moja, mimi nikiwa A-level, yeye alikuwa O-Level) naomba kuchukua fursa hii kumfariji Mhe. Spika, kwa kumshauri na kumuomba asiumize sana kichwa chake kuendelea kubishana na Mhe. Tundu Lissu kuhusu kanuni za Bunge, ni kujipotezea tuu muda wake bure kwa kubishana na Lissu kwa kitu ambacho Lissu ana uhakika nacho 100/100!. Nashauri wala Bunge wasipoteze muda na kujisumbua kumuadhibu kwa jambo ambalo liko wazi kabisa watu wote wenye macho tunduizi tunaona wazi ni wapi udhaifu wa uendeshaji wa Bunge letu ulipo, sababu za udhaifu huo zinajulikana tangu chanzo chake, ulipo sasa na labda utaendelea kuwepo, hivyo hata Lissu akiadhibiwa vipi, kwa sababu Mhe. huyu ni mbishi hakuna mfano!, haswa pale anapokuwa na uhakika kuwa yuko right!.

Nashauri Mhe. Spika, lazima ufike mahali, umkubali huyu jamaa hivyo hivyo jinsi alivyo na lile jina lake la Tundu, sio jina tuu la kupewa, bali huyu bwana analiishi jina lake kwa kuwa ni mtundu kweli!, na haswa pale anapogundua kuwa katiba, sheria, taratibu na kanuni zinakiukwa na zinapopindishwa ili kufavour na kutoa mteremko kwa upande fulani mule Bungeni.

Nimebahatika kusoma na Mhe. Lissu shule moja kule Ilboru, (sio darasa moja) miaka hiyo enzi za Mkuu mmoja wa shule aitwae Mwalimu Mushi, kwa jina la utani, tulimuita Bino!. Huyu Bino alikuwa ni Mwalimu Mkuu bingwa wa nidhamu, ila kwa Tundu Lissu, alinyanyua mikono juu na kisha kuishusha chini, baada ya kuthibitika kuwa japo Tundu Lissu shuleni alikuwa "toto tundu", ila pia ndie aliyekuwa kipanga wa darasa lake!, kwani pepa alikuwa akizifumua, utadhani mtihani katunga yeye!.

Tundu Lissu alijiunga shule ya vipaji ya Ilboru akitokea Singida, wakati huo shuleni akiitwa Antipasi Tundu, na alikuwa ni mtoto mtundu kweli!. Wakati huo, O-Level ya Ilboru ilichukua wanafunz vichwa tupu wenyeji wa Arusha, Singida na Shinyanga!. Sisi Wasukuma tukiitwa "Wasukusu", wenyeji wakiitwa "wamenye" huku jamaa wa Singida wakijiita watu wa "Singapore", A-Level wakichukua vipanga wenye Div 1 kali, enzo hizo uji ukiitwa "sumu", na nje kulikuwa na kaduka kwa "Akwii".

Utundu wa Tundu Lissu ulkikuwa ni kwenye mishe mishe tuu hizi za zile, haijulikani alikuwa akisoma muda gani, ila pepa zikija, anafumua ile mbaya kama mitihani katunga yeye!, hivyo huyu jamaa ni kichwa, very bright and na very intelligent upstairs!.

Moja ya maeneo ambayo Tundu Lissu alikuwa ni mtundu au tusema ni mbishi, ni kwenye school debate!. Tundu Lissu alikuwa Bingwa wa school debate, akishakuwa na uhakika yuko right and on the right side and on the right track, ni mbishi hakuna mfano!.

Hata mimi nami sikuwa malaika, nilikuwa na matatizo yangu tangu shule, yale matatizo ya kawaida ya watu wa Kanda ya Ziwa, sisi Wasukuma wa Chapa Ng'ombe, tukiongoza, unapokutana bidhaa adimu za kumwaga!, vile vibinti vya vyeupe vya Kiarusha pale Mlimani Ilboru, ukigusa tuu...!, ukijumlisha na lile baridi kali la Ilboru , tena wakati huo, "bwawa bado halijaingia luba!'...

Tundu Lissu aliondoka Ilboru na Div. 1 kali ya point 7!, akaenda Galanos huko nako akafumua Div. 1 ya point 3!, na hatimaye kujiunga UDSM alikofumua upper 2nd Class (inasemekana alipata 1st class Ila wakambania). Sisi na vilaza wengine tukaishia kwenye vile vyuo vya mashenzini!.

Tulipoteana kwa kipindi cha takriban miaka 10!, tulikuja kukutana tena jijini Atlanta, nchini Marekani, yeye akiwa na yake nami nikiwa na yangu, ndipo akanieleza sasa yuko LEAT, na huko aliichachafya serikali vivyo hivyo kama anavyo mchachafya Madame Spika, kwa kumsulubu bila huruma!.

Pamoja na utundu wote huu wa Mhe. Tundu Lissu, kiukweli kabisa this guy is dam good upstairs tangu academically akiwa shule na kwa kujenga hoja akiwa wakili na hadi sasa mule Bungeni.

Hivyo wakati tukisubiria kusikia ni adhabu gani itamfika Lissu hapo kesho, kuna maswali matatu tujiulize!.
  1. Jee ni kweli Mhe. Tundu Lissu ni mtundu kihivyo na ndie mbunge anayeongoza kwa utovu wa nidhamu hadi kustahili adhabu kali?.
  2. Au ni Spika ndiye Spika dhaifu hadi kushindwa kulisimamia Bunge kwa kanuni, kuliendesha Bunge kwa haki hivyo Tundu Lissu akisisitiza kufuatwa kwa Sheria taratibu na kanuni, anaonekana kama analeta vurugu?.
  3. Baada ya kuthibitisha, Mhe. Tundu Lissu alikuwa ni mtundu toka shuleni, jee nani wa kubadilika kati ya Mhe Tundu Lissu na wabunge wa upinzani, yaani wakae kimya wakati sheria, taratibu na kanuni za Bunge, zikikiukwa, na kupindishwa?,
  4. Au Mhe. Spika ndie abadilike na kukuendeshea Bunge kwa mujibu wa kanuni na sio kujiendeshea Bunge kwa kuliburuza atakavyo, ili tuu kudumisha utii, na nidhamu ili Bunge liwe la amani?,
  5. My Take: It's about time, wakuu wa Bunge ndio wabadilike baada ya kugundua mule Bungeni wameingia wabunge vichwa makini wanaojua katiba, sheria, taratibu na kanuni, hivyo sio watu wa kupelekwa pelekwa!. Huwezi kuwaburuza kibwege bwege, hivyo lazima wabadilike na waliendeshe Bunge kwa mujibu wa sheria, taratibu na kanuni kwa kutoa haki na usawa kwa wote, kwa vyama vyote, hivyo kupatikana kwa amani ya kweli ya kudumu mule Bungeni.
  6. Akifanya hivyo Mhe Madam Spika, atawathibitishia Watanzania kuwa hata yeye, japo ni Spika wa majaribio ya "jinsia" ,"ameweza" kuliendesha Bunge vizuri tuu, ambalo ni mhimili mmoja wa dola, hivyo 2015, hivyo kuuthibisha wanawake wakiwezeshwa, wanaweza, hivyo tunaweza kuendelea na majaribio ya "jinsia" kwa mihimili miwili iliyobakia, ili nchi yetu iwe ni nchi ya usawa halisi wa kijinsia.
Wasalaam

Paskali
(Skulu Meti wa Toto T).
Ulichambua historia vizuri sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanabodi,
Kwa vile mimi ni mmoja wa watu tunaomfahamu vizuri Mhe. Tundu, tangu zamani tukiwa shuleni, Ilboru (sio darasa moja, mimi nikiwa A-level, yeye alikuwa O-Level)

Moja ya maeneo ambayo Tundu Lissu alikuwa ni mtundu au tusema ni mbishi, ni kwenye school debate!. Tundu Lissu alikuwa Bingwa wa school debate, akishakuwa na uhakika yuko right and on the right side and on the right track, ni mbishi hakuna mfano!.

Tundu Lissu aliondoka Ilboru na Div. 1 kali ya point 7!, akaenda Galanos huko nako akafumua Div. 1 ya point 3!, na hatimaye kujiunga UDSM alikofumua upper 2nd Class (inasemekana alipata 1st class Ila wakambania). Sisi na vilaza wengine tukaishia kwenye vile vyuo vya mashenzini!.

Pamoja na utundu wote huu wa Mhe. Tundu Lissu, kiukweli kabisa this guy is dam good upstairs tangu academically akiwa shule na kwa kujenga hoja akiwa wakili na hadi sasa mule Bungeni.
Wasalaam

Paskali
(Skulu Meti wa Toto T).
Naomba kuthibitisha TL ni Simba Dume!.
Wanabodi,
Mhe. Tundu Lissu ndiye anayeongoza kwa kuleta vurugu aliponyanyuka akamvurumishia tena Makombora mazito, na kama angeendela kidogo tuu!, Spika ange break down kwa machozi!. (Naamini akifika ofisini kwake, atajifungia kidogo na kuimalizia hasira yake the same way wanawake wote wanamalizaga hasira zao!).

Kwa kuzingatia sifa kuu iliyomfanya Mama kuchaguliwa akiujua fika uwezo wa Madam kwanini anaendelea kumsulubisha kila apatapo fursa?!. This is not fair!.

Kwa vile Mama amepewa cheo kwa ajili ya gender issue, kwa uzi huu, namuomba Mhe. Tundu Lissu na Kambi ya Upinzani, wanapokuwa na hoja za msingi, wamuaddress Madam with courtesy of addressing a decent, honorable lady, ili ku restore confidence ambapo kwa sasa, ameshindwa kabisa, kwa hasira,

Nawauliza wajameni, hivi hiki anachofanya Mhe. Lissu na wengine kumsubulu Madam ambaye ni mwanamke bila huruma, ni sawa kweli?!.

Kiafrika, wanawanake ni ni watu wa kubembelezwa na kuonewa huruma!, hivi hawa wapinzani ni watu wa aina gani wasio hata na huruma kwa wanawake?!, leo ilibakia kidogo tuu madam angelia!, jee hiki wanachofanya ni sawa kweli?!. Ni haki?!

Nawaombeni wapinzani tumtendee haki Madam wetu aendesha kwa haki na kujiamini!. Pia tunamuomba Tundu Lissu aache kumuonea mwanamke, asubiri tupate tena mwanaume mwenzake ndio wapambane, Kiafrika sio vizuri kwa mwanaume kupambana na mwanamke, huku ni kumuonea.

Atakapokuja kutokea mwamume ndio Lissu apambane na sio kumyanyasa Mwanamke.

Pasco.
Wanabodi,
Leo nimelikumbuka bandiko hili kuhusu TL kukosesha mtu usingizi baada ya kuiangalia clip hii
View: https://youtu.be/UXFoyKtbEEA?si=l6IxoAUVEFFWXWSP

Usikute TL anamkosesha mtu usingizi!, halafu itokee TL ndie asimame nae 2025!, na alivyo hana break... si kuna mtu ataogeshwa .... kila uchao?.
Hapa ni ninauliza tuu!.

Ndio maana nimeshauri, kama mgombea wa urais wa chama kubwa 2025 ni mwanamke, then vyama vyote viweke wagombea urais wanawake wapambane na sio jitu dume zima lipambane ma majike!.

Hivyo nikapendekeza Iwapo Watanzania wataamua 2025 twende na Mwanamke, mnaonaje tukiwashauri CHADEMA wasimamishe Mwanamke? Maana Mwanaume kushindwa na Mwanamke ni aibu!

Na endapo wapinzani watakuwa hawana kabisa mwanamke ambaye ni match na mgombea wa chama kubwa hivyo ni lazima kumsimamisha mwanaume, then mgombea wa upinzani asiwe TL ili kumstahi mgombea mwanamke, maana jinsi TL asivyo na breki, hachelewi kumuogesha na mvua ya ... TL saizi yake alikuwa JPM na sio huyu Maza Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli!

hivyo nimeshauri mgombea wa upinzani awe Kama CCM Itamsimamisha Rais Samia 2025, Mnaonaje Freeman Mbowe Awe Mgombea wa Upinzani? Atapiga Ndege 3 kwa Jiwe Moja, Atavuna Wabunge Wengi ila... sababu ya kupendekeza FM ni kufuatia kukubali maridhiano na CCM kugawana nusu mkate, TL anayabeza maridhiano Msikie Tundu Lissu Hapa, Anauliza Kama Wenzake Wana Akili Kweli! Maridhiano Ayaita Ujinga. Je, Lissu Bado ni Asset or Sasa ni A Liability?

Hili mnalionaje?.

P
 
Naomba kuthibitisha TL ni Simba Dume!.
Wanabodi,
Leo nimelikumbuka bandiko hili kuhusu TL kukosesha mtu usingizi baada ya kuiangalia clip hii
View: https://youtu.be/UXFoyKtbEEA?si=l6IxoAUVEFFWXWSP

Usikute TL anamkosesha mtu usingizi!, halafu itokee TL ndie asimame nae 2025!, na alivyo hana break... si kuna mtu ataogeshwa .... kila uchao?.
Hapa ni ninauliza tuu!.

Ndio maana nimeshauri, kama mgombea wa urais wa chama kubwa 2025 ni mwanamke, then vyama vyote viweke wagombea urais wanawake wapambane na sio jitu dume zima lipambane ma majike!.

Hivyo nikapendekeza Iwapo Watanzania wataamua 2025 twende na Mwanamke, mnaonaje tukiwashauri CHADEMA wasimamishe Mwanamke? Maana Mwanaume kushindwa na Mwanamke ni aibu!

Na endapo wapinzani watakuwa hawana kabisa mwanamke ambaye ni match na mgombea wa chama kubwa hivyo ni lazima kumsimamisha mwanaume, then mgombea wa upinzani asiwe TL ili kumstahi mgombea mwanamke, maana jinsi TL asivyo na breki, hachelewi kumuogesha na mvua ya ... TL saizi yake alikuwa JPM na sio huyu Maza Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli!

hivyo nimeshauri mgombea wa upinzani awe Kama CCM Itamsimamisha Rais Samia 2025, Mnaonaje Freeman Mbowe Awe Mgombea wa Upinzani? Atapiga Ndege 3 kwa Jiwe Moja, Atavuna Wabunge Wengi ila... sababu ya kupendekeza FM ni kufuatia kukubali maridhiano na CCM kugawana nusu mkate, TL anayabeza maridhiano Msikie Tundu Lissu Hapa, Anauliza Kama Wenzake Wana Akili Kweli! Maridhiano Ayaita Ujinga. Je, Lissu Bado ni Asset or Sasa ni A Liability?

Hili mnalionaje?.

P

Ccm haitegemei matokeo ya hesabu za kura kushinda, hilo hata wewe unalifahamu.
 
Wanabodi,

Kwa vile mimi ni mmoja wa watu tunaomfahamu vizuri Mhe. Tundu, tangu zamani tukiwa shuleni, Ilboru (sio darasa moja, mimi nikiwa A-level, yeye alikuwa O level . Japo Tundu Lissu shuleni alikuwa "toto tundu", ila pia ndie aliyekuwa kipanga wa darasa lake!, kwani pepa alikuwa akizifumua, utadhani mtihani katunga yeye!..Tundu Lissu alijiunga shule ya vipaji ya Ilboru akitokea Singida, wakati huo shuleni akiitwa Antipasi Tundu, na alikuwa ni mtoto mtundu kweli!. Utundu wa Tundu Lissu ulkikuwa ni kwenye mishe mishe tuu hizi za zile, haijulikani alikuwa akisoma muda gani, ila pepa zikija, anafumua ile mbaya kama mitihani katunga yeye!, hivyo huyu jamaa ni kichwa, very bright and na very intelligent upstairs!. Moja ya maeneo ambayo Tundu Lissu alikuwa ni mtundu au tusema ni mbishi, ni kwenye school debate!. Tundu Lissu alikuwa Bingwa wa school debate, akishakuwa na uhakika yuko right and on the right side and on the right track, ni mbishi hakuna mfano!. Tundu Lissu aliondoka Ilboru na Div. 1 kali ya point 7!, akaenda Galanos huko nako akafumua Div. 1 ya point 3!, na hatimaye kujiunga UDSM alikofumua upper 2nd Class (inasemekana alipata 1st class Ila wakambania). Sisi na vilaza wengine tukaishia kwenye vile vyuo vya mashenzini!. Tulipoteana kwa kipindi cha takriban miaka 10!, tulikuja kukutana tena jijini Atlanta, nchini Marekani, yeye akiwa na yake nami nikiwa na yangu, ndipo akanieleza sasa yuko LEAT, na huko aliichachafya serikali vivyo hivyo kama anavyo mchachafya Madame Spika, kwa kumsulubu bila huruma!. Pamoja na utundu wote huu wa Mhe. Tundu Lissu, kiukweli kabisa this guy is dam good upstairs tangu academically akiwa shule na kwa kujenga hoja akiwa wakili na hadi sasa mule Bungeni. Paskali(Sikulu Meti wa Toto T).
Kufuatia Tundu Lissu kugombea uenyekiti wa Chadema, nimelikumbuka bandiko hili ili kuwasaidia wasio mjua Tundu Lissu, wamjue.

Chadema kwa hapa ilipo, japo kinaitwa ni chama cha upinzani, ni upinzani jina tuu sio upinzani nia, kwa sasa Chadema ni kiji saccos fulani hivi cha kupigia tuu fedha za ruzuku, lakini hakina mpango wowote wa kushika dola kwasababu kiongozi wake wa sasa hana ubavu wa kuiingiza Chadema ikulu.

Kama kuna wana Chadema, wana nia ya dhati, Chadema, kiwe ni chama cha upinzani kweli, chenye nia ya kushika dola, then ni lazima wafanye mabadiliko ya uongozi, wamchague mtu mwenye uwezo wa kuiingiza Chadema Ikulu.

CCM imeota mizizi iliyojichimbia chini sana na kukomaa kwa miaka mingi, hivyo kuing'oa pale ikulu, kunahitaji mtu mgumu, sio laini laini, mwenye msuli wa kiukweli kweli, na sura ya ndimu, zile risasi 16, zimempitisha Lissu kwenye bonde la uvuli wa mauti na kumpika kwenye tanuru la moto, hivyo zimemfanya Lissu kuwa ni chuma cha pua!.

Chuma cha type hii ndio kinaweza kuingoa CCM ikulu.

Nasema nendeni na Lissu japo Lissu sio mkamilifu, hakuna mkamilifu, Lissu tatizo lake kubwa ni ropo ropo!, japo huo u ropo ropo wake ni a liability kwa wastaarabu na waungwana, huo uropo ropo wake ndio the biggest asset ya kuifurusha CCM Ikulu!, Japo Lowassa Alikuwa a Liability CCM, Akawa Asset Chadema. Lissu is a Very Bad Liability, but is The Only Asset Chadema Has Kuwangiza Ikulu!. Je... ?

Hivyo wana Chadema kama mnataka kugeuka chama cha siasa na kwenda ikulu, Lissu is the man to bank with, ila kama mnataka kuendelea na saccos yenu ya kupiga fedha za ruzuku, then endelezeni the status quo.

P
 
Kufuatia Tundu Lissu kugombea uenyekiti wa Chadema, nimelikumbuka bandiko hili ili kuwasaidia wasio mjua Tundu Lissu, wamjue.

Chadema kwa hapa ilipo, japo kinaitwa ni chama cha upinzani, ni upinzani jina tuu sio upinzani nia, kwa sasa Chadema ni kiji saccos fulani hivi cha kupigia tuu fedha za ruzuku, lakini hakina mpango wowote wa kushika dola kwasababu kiongozi wake wa sasa hana ubavu wa kuiingiza Chadema ikulu.

Kama kuna wana Chadema, wana nia ya dhati, Chadema, kiwe ni chama cha upinzani kweli, chenye nia ya kushika dola, then ni lazima wafanye mabadiliko ya uongozi, wamchague mtu mwenye uwezo wa kuiingiza Chadema Ikulu.

CCM imeota mizizi iliyojichimbia chini sana na kukomaa kwa miaka mingi, hivyo kuing'oa pale ikulu, kunahitaji mtu mgumu, sio laini laini, mwenye msuli wa kiukweli kweli, na sura ya ndimu, zile risasi 16, zimempitisha Lissu kwenye bonde la uvuli wa mauti na kumpika kwenye tanuru la moto, hivyo zimemfanya Lissu kuwa ni chuma cha pua!.

Chuma cha type hii ndio kinaweza kuingoa CCM ikulu.

Nasema nendeni na Lissu japo Lissu sio mkamilifu, hakuna mkamilifu, Lissu tatizo lake kubwa ni ropo ropo!, japo huo u ropo ropo wake ni a liability kwa wastaarabu na waungwana, huo uropo ropo wake ndio the biggest asset ya kuifurusha CCM Ikulu!, Japo Lowassa Alikuwa a Liability CCM, Akawa Asset Chadema. Lissu is a Very Bad Liability, but is The Only Asset Chadema Has Kuwangiza Ikulu!. Je... ?

Hivyo wana Chadema kama mnataka kugeuka chama cha siasa na kwenda ikulu, Lissu is the man to bank with, ila kama mnataka kuendelea na saccos yenu ya kupiga fedha za ruzuku, then endelezeni the status quo.

P
Una hoja aisee....japo wewe ni kada wa Ccm
 
Wanabodi,

Juzi katika kikao cha bunge, Spika wa Bunge, Mhe. Anne Maklnda, alimtaja Mbunge wa Singida, Mhe. Tundu kama ndie Mbunge anayeongoza kuwa chanzo cha vurugu za bungeni, kwa kuongoza kwa utovu wa nidhamu, kuleta fujo na vurugu mbalimbali za bungeni, hali ambayo sio tuu inahatarisha hali ya usalama, utulivu na amani bungeni, bali pia kumevuruga hadi baadhi ya ratiba za Bunge kulikopelekea Spika kufuta ratiba za Bunge ambazo zilikwisha ridhiwa na kuingizwa kwenye Order Paper ikiwemo kupokea hoja binafsi za wabunge, kwa kilichoelezwa kuepuka vurugu zaidi!.

Jana kikao cha kamati ya Uongozi kimekaa kujadili hali ya usalama Bungeni na matokeo yake, tutayapata kesho asubuhi baada ya kipindi cha maswali na majibu ya papo kwa papo kwa PM!, ni hakika rungu la kiti, lazima litamshukia Mhe. Tundu Lissu!.

Swali la kwanza ambalo wengi mtapenda kujiuliza ni, ni jee ni kweli, Mhe. Tundu ni mtundu na ndie chanzo cha utovu wote wa nidhamu wa bunge hili la kumi kama anavyoelezwa na Madam Speaker?!, au huo utundu wa Mhe. Tundu, sio utundu bali ni kusimamia haki na uzingatiaji wa kanuni za uendeshaji wa Bunge kwa haki, kufuatia Madam Speaker kuonyesha udhaifu mkubwa katika kuliendesha Bunge kwa kutokuzingatia, sheria, taratibu na Kanuni?!.

Kwa vile mimi ni mmoja wa watu tunaomfahamu vizuri Mhe. Tundu, tangu zamani tukiwa shuleni, Ilboru (sio darasa moja, mimi nikiwa A-level, yeye alikuwa O-Level) naomba kuchukua fursa hii kumfariji Mhe. Spika, kwa kumshauri na kumuomba asiumize sana kichwa chake kuendelea kubishana na Mhe. Tundu Lissu kuhusu kanuni za Bunge, ni kujipotezea tuu muda wake bure kwa kubishana na Lissu kwa kitu ambacho Lissu ana uhakika nacho 100/100!. Nashauri wala Bunge wasipoteze muda na kujisumbua kumuadhibu kwa jambo ambalo liko wazi kabisa watu wote wenye macho tunduizi tunaona wazi ni wapi udhaifu wa uendeshaji wa Bunge letu ulipo, sababu za udhaifu huo zinajulikana tangu chanzo chake, ulipo sasa na labda utaendelea kuwepo, hivyo hata Lissu akiadhibiwa vipi, kwa sababu Mhe. huyu ni mbishi hakuna mfano!, haswa pale anapokuwa na uhakika kuwa yuko right!.

Nashauri Mhe. Spika, lazima ufike mahali, umkubali huyu jamaa hivyo hivyo jinsi alivyo na lile jina lake la Tundu, sio jina tuu la kupewa, bali huyu bwana analiishi jina lake kwa kuwa ni mtundu kweli!, na haswa pale anapogundua kuwa katiba, sheria, taratibu na kanuni zinakiukwa na zinapopindishwa ili kufavour na kutoa mteremko kwa upande fulani mule Bungeni.

Nimebahatika kusoma na Mhe. Lissu shule moja kule Ilboru, (sio darasa moja) miaka hiyo enzi za Mkuu mmoja wa shule aitwae Mwalimu Mushi, kwa jina la utani, tulimuita Bino!. Huyu Bino alikuwa ni Mwalimu Mkuu bingwa wa nidhamu, ila kwa Tundu Lissu, alinyanyua mikono juu na kisha kuishusha chini, baada ya kuthibitika kuwa japo Tundu Lissu shuleni alikuwa "toto tundu", ila pia ndie aliyekuwa kipanga wa darasa lake!, kwani pepa alikuwa akizifumua, utadhani mtihani katunga yeye!.

Tundu Lissu alijiunga shule ya vipaji ya Ilboru akitokea Singida, wakati huo shuleni akiitwa Antipasi Tundu, na alikuwa ni mtoto mtundu kweli!. Wakati huo, O-Level ya Ilboru ilichukua wanafunz vichwa tupu wenyeji wa Arusha, Singida na Shinyanga!. Sisi Wasukuma tukiitwa "Wasukusu", wenyeji wakiitwa "wamenye" huku jamaa wa Singida wakijiita watu wa "Singapore", A-Level wakichukua vipanga wenye Div 1 kali, enzo hizo uji ukiitwa "sumu", na nje kulikuwa na kaduka kwa "Akwii".

Utundu wa Tundu Lissu ulkikuwa ni kwenye mishe mishe tuu hizi za zile, haijulikani alikuwa akisoma muda gani, ila pepa zikija, anafumua ile mbaya kama mitihani katunga yeye!, hivyo huyu jamaa ni kichwa, very bright and na very intelligent upstairs!.

Moja ya maeneo ambayo Tundu Lissu alikuwa ni mtundu au tusema ni mbishi, ni kwenye school debate!. Tundu Lissu alikuwa Bingwa wa school debate, akishakuwa na uhakika yuko right and on the right side and on the right track, ni mbishi hakuna mfano!.

Hata mimi nami sikuwa malaika, nilikuwa na matatizo yangu tangu shule, yale matatizo ya kawaida ya watu wa Kanda ya Ziwa, sisi Wasukuma wa Chapa Ng'ombe, tukiongoza, unapokutana bidhaa adimu za kumwaga!, vile vibinti vya vyeupe vya Kiarusha pale Mlimani Ilboru, ukigusa tuu...!, ukijumlisha na lile baridi kali la Ilboru , tena wakati huo, "bwawa bado halijaingia luba!'...

Tundu Lissu aliondoka Ilboru na Div. 1 kali ya point 7!, akaenda Galanos huko nako akafumua Div. 1 ya point 3!, na hatimaye kujiunga UDSM alikofumua upper 2nd Class (inasemekana alipata 1st class Ila wakambania). Sisi na vilaza wengine tukaishia kwenye vile vyuo vya mashenzini!.

Tulipoteana kwa kipindi cha takriban miaka 10!, tulikuja kukutana tena jijini Atlanta, nchini Marekani, yeye akiwa na yake nami nikiwa na yangu, ndipo akanieleza sasa yuko LEAT, na huko aliichachafya serikali vivyo hivyo kama anavyo mchachafya Madame Spika, kwa kumsulubu bila huruma!.

Pamoja na utundu wote huu wa Mhe. Tundu Lissu, kiukweli kabisa this guy is dam good upstairs tangu academically akiwa shule na kwa kujenga hoja akiwa wakili na hadi sasa mule Bungeni.

Hivyo wakati tukisubiria kusikia ni adhabu gani itamfika Lissu hapo kesho, kuna maswali matatu tujiulize!.
  1. Jee ni kweli Mhe. Tundu Lissu ni mtundu kihivyo na ndie mbunge anayeongoza kwa utovu wa nidhamu hadi kustahili adhabu kali?.
  2. Au ni Spika ndiye Spika dhaifu hadi kushindwa kulisimamia Bunge kwa kanuni, kuliendesha Bunge kwa haki hivyo Tundu Lissu akisisitiza kufuatwa kwa Sheria taratibu na kanuni, anaonekana kama analeta vurugu?.
  3. Baada ya kuthibitisha, Mhe. Tundu Lissu alikuwa ni mtundu toka shuleni, jee nani wa kubadilika kati ya Mhe Tundu Lissu na wabunge wa upinzani, yaani wakae kimya wakati sheria, taratibu na kanuni za Bunge, zikikiukwa, na kupindishwa?,
  4. Au Mhe. Spika ndie abadilike na kukuendeshea Bunge kwa mujibu wa kanuni na sio kujiendeshea Bunge kwa kuliburuza atakavyo, ili tuu kudumisha utii, na nidhamu ili Bunge liwe la amani?,
  5. My Take: It's about time, wakuu wa Bunge ndio wabadilike baada ya kugundua mule Bungeni wameingia wabunge vichwa makini wanaojua katiba, sheria, taratibu na kanuni, hivyo sio watu wa kupelekwa pelekwa!. Huwezi kuwaburuza kibwege bwege, hivyo lazima wabadilike na waliendeshe Bunge kwa mujibu wa sheria, taratibu na kanuni kwa kutoa haki na usawa kwa wote, kwa vyama vyote, hivyo kupatikana kwa amani ya kweli ya kudumu mule Bungeni.
  6. Akifanya hivyo Mhe Madam Spika, atawathibitishia Watanzania kuwa hata yeye, japo ni Spika wa majaribio ya "jinsia" ,"ameweza" kuliendesha Bunge vizuri tuu, ambalo ni mhimili mmoja wa dola, hivyo 2015, hivyo kuuthibisha wanawake wakiwezeshwa, wanaweza, hivyo tunaweza kuendelea na majaribio ya "jinsia" kwa mihimili miwili iliyobakia, ili nchi yetu iwe ni nchi ya usawa halisi wa kijinsia.
Wasalaam

Paskali
(Skulu Meti wa Toto T).
Paskali katika ubora wake
 
Wanabodi,

Kwa vile mimi ni mmoja wa watu tunaomfahamu vizuri Mhe. Tundu, tangu zamani tukiwa shuleni, Ilboru (sio darasa moja, mimi nikiwa A-level, yeye alikuwa O-Level) naomba kuchukua fursa hii kumfariji Mhe. Spika, kwa kumshauri na kumuomba asiumize sana kichwa chake kuendelea kubishana na Mhe. Tundu Lissu kuhusu kanuni za Bunge, ni kujipotezea tuu muda wake bure kwa kubishana na Lissu kwa kitu ambacho Lissu ana uhakika nacho 100/100!. Nashauri wala Bunge wasipoteze muda na kujisumbua kumuadhibu kwa jambo ambalo liko wazi kabisa watu wote wenye macho tunduizi tunaona wazi ni wapi udhaifu wa uendeshaji wa Bunge letu ulipo, sababu za udhaifu huo zinajulikana tangu chanzo chake, ulipo sasa na labda utaendelea kuwepo, hivyo hata Lissu akiadhibiwa vipi, kwa sababu Mhe. huyu ni mbishi hakuna mfano!, haswa pale anapokuwa na uhakika kuwa yuko right!.

Nashauri Mhe. Spika, lazima ufike mahali, umkubali huyu jamaa hivyo hivyo jinsi alivyo na lile jina lake la Tundu, sio jina tuu la kupewa, bali huyu bwana analiishi jina lake kwa kuwa ni mtundu kweli!, na haswa pale anapogundua kuwa katiba, sheria, taratibu na kanuni zinakiukwa na zinapopindishwa ili kufavour na kutoa mteremko kwa upande fulani mule Bungeni.

Nimebahatika kusoma na Mhe. Lissu shule moja kule Ilboru, (sio darasa moja) miaka hiyo enzi za Mkuu mmoja wa shule aitwae Mwalimu Mushi, kwa jina la utani, tulimuita Bino!. Huyu Bino alikuwa ni Mwalimu Mkuu bingwa wa nidhamu, ila kwa Tundu Lissu, alinyanyua mikono juu na kisha kuishusha chini, baada ya kuthibitika kuwa japo Tundu Lissu shuleni alikuwa "toto tundu", ila pia ndie aliyekuwa kipanga wa darasa lake!, kwani pepa alikuwa akizifumua, utadhani mtihani katunga yeye!.



Utundu wa Tundu Lissu ulkikuwa ni kwenye mishe mishe tuu hizi za zile, haijulikani alikuwa akisoma muda gani, ila pepa zikija, anafumua ile mbaya kama mitihani katunga yeye!, hivyo huyu jamaa ni kichwa, very bright and na very intelligent upstairs!.

Moja ya maeneo ambayo Tundu Lissu alikuwa ni mtundu au tusema ni mbishi, ni kwenye school debate!. Tundu Lissu alikuwa Bingwa wa school debate, akishakuwa na uhakika yuko right and on the right side and on the right track, ni mbishi hakuna mfano!.

Pamoja na utundu wote huu wa Mhe. Tundu Lissu, kiukweli kabisa this guy is dam good upstairs tangu academically akiwa shule na kwa kujenga hoja akiwa wakili na hadi sasa mule Bungeni.

Paskali
(Skulu Meti wa Toto T).
Tuungane kumu wish Tundu Lissu all the best kesho.
YEYE atatenda!
Sema Amen!.

Ushindi wa Tundu Lissu kesho ni muhimu ili October, YEYE aonyeshe uwezo wake kwa kulifanya lile jiwe lililokataliwa na waashi, YEYE atalifanya kuwa jiwe kuu la pembeni!.

P
 
Back
Top Bottom