Vurugu za Bungeni: Tundu Lissu, Anastahili Adhabu Kali?!. Ni Mtundu Toka Shule!.

Pasco,

Si sahihi kusema kuwa Tundu Lissu ni 'mtundu'. Hata kwa maelezo uliyotoa ni wazi Lissu havumilii kabisa ukiukwaji wa sheria, kanuni na taratibu. Mtindo wa kufanya mambo kwa maujanja-ujanja ni mwiko kwa huyu bwana.
 
Last edited by a moderator:
Kesi ya Lema alivyoingia Lisu kila mtu anajuwa ni nini kilichofuatia.
 
Wenye akili nyingi darasani wakilivuta wanakuwa ni walipukaji sana. Kwa trend ilivyo Bungeni sasa, wavutaji ni wengi.
hahahahahahahahahaaha!
mkuu tukubaliane kuwa KITI kinalipukaji kama ilivyo kwa tundu lissu kama unavyotaka iwe,
lakini ulipukaji wa Lissu una maslahi kwa taifa na ule ulipukaji wa kiti una maslahi ya watu wachache....
 
Truth be told...you can't silence a strong man like him by that approach...lets wait and see
 
Tundu Lisu ana hoja nzuri, weakness yake kubwa ni communication skills and wisdom....
 
Lissu,Mnyika,Mdee,Msigwa kidogo Mbatia na Kafulila ni baadhi ya wabunge wanao wanyima ma-speaker raha sana yaani wakisimama tu, Jasho lishawatoka ma-speaker.
 
duuuh 1961 upo sec? khaa mimi ni wa sita kwetu hata wa kwanza alikuwa hajazaliwa ,wala wazazi wetu walikuwa hawajuani,na tumepishana miaka minne minne. duuuh kweli jf ni pana.sitanii tena mtu huku. naahidi kuwa na adabu.shikamoo mzee
 
Bunge letu limekosa viongozi..wote spika na naibu wake wanapwaya vibaya..!
 

thikamooo,,,,,,,,
 
Umenifurahisha sn yani madame spika ni spika wa majaribio ya usawa wa kijinsia, bas tujiandae kupata narais wa majaribio ya kijinsia aliyeshindwa kaz un
 

alikuwa analiyumbisha bunge kwa facts ambazo sitta alikuwa mara nyingi analazimika kuzikubali,huyu bibi ni mbabe hakubali facts za wapinzani..usichoelewa wewe nini hapo!!
Unataka kujua kabila kwani unataka kutambika?
 
Du yote ni NENO,let me cross my fingers
God Bless Tanzania,God bless the Tanzanians
 
Halafu bangi ilivutwa sana Ilboru miaka hiyo.
Mkuu WC, O-level nilisoma Tambaza, jamaa walikuwa wanapiga sana hiyo kitu kule juu kunaitwa summit, wengi waliibuka na misonge ya nguvu!, hivyo nilipokwenda Ilboru, nilijaribu, ili na mimi nipasue, purely on academic acellence!, very unfortunately mimi ilinituma vibaya!. Nilipowaeleza wenzangu, wakasema kosa ni langu, mimi ndio niliwaza hayo mabaya!, wakaniambia kabla ya kupuliza, dhamiria kwanza kupiga biku usiku kucha!, nikadhamiria, na kujaribu tena!, vile vile inantuma kusaka huduma fulani na ukikosa unaweza kubaka!.

Tangu pale sikujaribu tena kuitumia kusemea!, nilifikia stage hata nikipita mahali nikasikia tuu harufu!, jamaa huyo!.

Kiukweli nawajua baadhi ya watu ambao wameitumia for good use and it has worked well for them!, O-level wametoka na point 7!, A-level point 3!, sijui kama mpaka chuo waliendelea ila sasa wako ik kabisa in life!.

Kuna kitabu kuhusu narcotics nilikisoma siku za nyuma, nikakuta kati ya madawa yote ya kulevya, jani ndilo lenye kilevi kidogo kabisa na addtiction yake haina withdrawer symptoms!.

Hata sigara za kawaida zina sumu ya nicotine wakati jani halina sumu!.
Kahawa ya kawaida ina sumu ya caffeine ambayo ni verry addictive, jani halina!.
Mimi ni supporter mkubwa wa ku legalize hii kitu but only kwa wale ambao wamekuwa proved kuwa itawatuma vizuri!.
Pia mimi ni supporter wa "pro choice" katika life na pia naunga mkono ile "the oldest professional" iwe legalized!.

Pasco.
 
Je Makinda naye ni Kinda bado katika uendeshaji wa shughuli za Bunge ?

Teh teh nae atakuwa analiishi hilo jina lake na ndo maana mpaka sasa hajaolewa na naendesha bunge kama mtoto na si dhaifu tu
 
Mi ningependa kuuliza, adhabu yoyote itakayotolewa kwa Tundu je itakuwa fair na ni hatua gani mh. huyu anaweza kuzichukua? Ukizingatia Bi Kiroboto alishasema mapema kuwa yeye ndiye kinara japo hakuwepo bungeni pengine hakupata muda wa kufuatilia kiundani jambo hilo, kwangu mimi ni kama the judgement has made even before the trial! japo sina shaka naye anafahamu kanuni za kibunge,
 
Hivi ukiwa unatetea haki yako au ya wapiga kura wako ndiyo kuitwa Mtundu? Hapa ndiyo naanza kuona ule usemi usemao ukitaka ubaya dai Chako.
Mara ya kwana kumuona Tundu kabla yakuwa mbunge nilitamani siku aje kuwa mbunge na niliomba sana hilo na imekuja kuwa hivyo .Bravo Mh Tundu





Hivi kwa Tanzania yetu
 
mkuu, Tundu kasoma A'level Galanos. Ilboru kasoma O'level. Sasa alihama kutoka Galanos kwenda Ilboru kivp?. Tuliosoma pale Galanos japo hatukumkuta ila rekodi zinaonesha amesoma HGE pale. Naona umechapia kidogo mkuu.
Mkuu Don-Oba, thanks!, mistake regretted!, first post updated!.
Pasco.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…