Vurugu za Bungeni: Tundu Lissu, Anastahili Adhabu Kali?!. Ni Mtundu Toka Shule!.

Mkuu Pasco, hata sie ni ma-collegemate wa Tundu Lissu na tunamjua vizuri kwenye ubishi wa 'kunji' pale Rev. Square. Lakini nashauri arudi kwenye fani yake ya sheria kwani ili uwe mwanasiasa inabidi uwe mnafiki kidogo na uwe tayari kubadili misimamo kila unapoona maslahi yako upande mwingine.

Hii misimamo ya Tundu Lisu isiyoyumba, tumayaona kwa Mchungaji Mtikila hadi leo amepoteza ufuasi ingawaje mara zote amesimamia haki na ukweli.
 
Last edited by a moderator:
dah.... Umepiga gangnum style aisee
 
Pasco tatizo siyo sketi kaka yangu tatizo ni uwezo wa mtu.Inaweza ikawa sketi lakini uwezo wake ukawa mkubwa kuliko suruali.Kuna wanawake ni vichwa hahutaji kuuliza,ila kwa Spika wetu uwezo hana au kama anao uwezo wa kufanya maamuzi magumu basi hana wazungu wanaita GUTS.Na pia hautendei haki ubongo wake mwenyewe.Hilo tu.
 
Acha kupotosha watu wewe hujui Tundu ni litobo lililowazi.Halafu mtu mwenyewe anapenda kulialia mnajidai kumsifia

View attachment 82223

Hapa Lisu alikuwa analia kwa hisia za kumpoteza babay ake mzazi,Pinda hulialia bungeni kuvutia huruma ili asipoteze uwaziri mkuu kwa kuvunja katiba
 

Wanasheria wamazingira.
huyu tulimzoea sana Channel Ten enzi hizo.
 

Pasco tutake radhi watz, sisi siyo ndondochas...Mwanza,Arusha,Ubungo na sehemu nyingine ni ushahidi tosha kuwa watz wanachagua mabadiliko, ila mara wakiondoka/hata wakiwepo vituoni tume ya uchaguzi/vyombo vya usalama vinabadili matokeo, lianze vuguvugu la kutaka tume huru ya uchaguzi sasa, katiba mpya chini ya Warioba si kitu cha kutegemea...vyombo huru vya habari tz haviwaandai watz(mtaji wa ccm) kuelekea uchaguzi mkuu 2015..tunashuhudia sasa jwtz wanavyotumika kudhibiti vijana..2015 ni hatari!...dawa ni tume huru kweli ya uchaguzi.
 
Duh! Mag3 una wajukuu wangapi sasa?


Nahisi kizungu zungu hapa, mwaka 1961 palikuwepo na mfumo wa elimu wa form one? khaaaaa! Nisaidieni muliokula chumvi nyingi mkuu Mag3
 
Last edited by a moderator:

Hivi katika hao wote waliosoma "spesho" skulz kuna hata mmoja aliyevumbua chochote?

Na kwa chochote namaanisha kitu au kanuni yoyote ile katika jambo lolote lile?
 
Hawana lolote hao mkuu wanapenda kupindisha kanuni ili ziwapendelee lakini wamenoa maana wamekutana na bingwa wa kudadavua kanuni.
 
wanamuogopa sana huyo ndio sababu

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…