Vurugu za kisiasa zinazoendelea Kenya zanufaisha utalii Tanzania

Vurugu za kisiasa zinazoendelea Kenya zanufaisha utalii Tanzania

Huo ungwana wenu mbona huwa hamzingatii wakati mnawachinja na kuwala albino, ni taifa gani dunia yote zaidi ya Tanzania linalofahamika kwa mauaji ya hao maskini walemavu wa ngozi, tatizo huwa mna unafiki mkubwa sana. Kuna baadhi yetu tunawafahamu nyie jinsi mlivyo hadi ndani.

Kitu ambacho huwa nafurahishwa na mleta mada, yeye hudhihirisha Utanzania halisi uliojificha wa roho zenu nyeusi bila unafiki. Mara nyingi unakuta Watanzania mna hulka ya kuamkuana na kuitana wakuu lakini ndani ya roho zenu mna majungu na machungu kupitiliza. Ni kawaida Mtanzania kukuchangamkia kwa salamu nyingi na vijimaneno, lakini ukiondoka tu, anaanza kuporomosha majungu dhidi yako.

Hivyo muache kupoteza muda eti mnamrekebisha mleta mada, yeye alishafanya maamuzi ya kutoishi kinafiki kama mlivyo, huwa anadhihirisha chuki zake zote na kuziweka wazi bila kumunya maneno wala kuremba.
Hivi mshajenga lile soko la wachaga mlilolichoma?
 
Watu wote walioishi bongo, wanatamani kurudi, wewe mwenyewe unapapenda bongo.

Hehehe kuna Wakenya hupenda Bongo kwa sababu nyie hampo strict sana kikazi au kiutendaji, hivyo Mkenya akija anahisi kama yupo likizo vile, kumbe yupo kazini.
Wakiwa Kenya huwa balaa unafuatiliwa hatua kwa hatua, maana Wakenya wanaamini katika ufanisi.
 
Mitanzania bana roho mbaya mlibarikiwa nazo. Chinjeni hadi ng'ombe mle minofu mnywe, muimbe lakini mkumbuke baada ya mda tutarudi kwenye form yetu ya kawaida. Hapo sasa ndo mtashindwa kula na kunywa mtalia sana na kusaga meno.
 
Mitanzania bana roho mbaya mlibarikiwa nazo. Chinjeni hadi ng'ombe mle minofu mnywe, muimbe lakini mkumbuke baada ya mda tutarudi kwenye form yetu ya kawaida. Hapo sasa ndo mtashindwa kula na kunywa mtalia sana na kusaga meno.
umegonga ndipo!!
 
Back
Top Bottom