imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Una uhalali gani wa kuongelea RUSHWA Chadema?! au ni Nyani haoni kundule...?!Chama Cha Wajinga rushwa linatumia rushwa kupata viongozi 😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una uhalali gani wa kuongelea RUSHWA Chadema?! au ni Nyani haoni kundule...?!Chama Cha Wajinga rushwa linatumia rushwa kupata viongozi 😂😂
Wewe unaongea upuuzi gani mbona huelewekiKwani ni chama chako si ni Mbowe?
Ukiona hivyo ujue Mbowe upande wake umeshindwa na ndiyo maana wanachukua muda mrefu.Kura chini ya 1000 zinahesabiwa siku 2 chadema ina-tatizo kubwa sana
Uzuri vinadhibitiwa 😂😂Vikundi vya lissu hivyo
Kwahiyo picha ya rais wetu wanyonge mshaifanya meme 😥😹
Chama Cha Mbowe ataamua nani awe KiongoziWewe unaongea upuuzi gani mbona hueleweki
Wataenda ziliko familia zao huko ng’ambo!! Lissu kaanza onesha uhuni kupitia MahinyilaFAM ndiye mwenyekiti mvua inyeshe ,jua liwake!
Heche, Wenje,Lema mtakula pili pili kichaa mwaka huu?
Bi sharifa ana kura 164 dhidi ya mhuni wa Lissu bi Simba anq 116! Kura zinarudiwa.Ukiona hivyo ujue Mbowe upande wake umeshindwa na ndiyo maana wanachukua muda mrefu.
Tarehe 21 wataumizana sana! Sidhani kama watu watakubali kiurahisi kura zichezewe.
Mbowe atasababisha vurugu kubwa kufanya michezo kama ya CCM. Anasababisha watu watatona damu huyu Mzee. Naiona vurugu kubwa hapa! Hata kama Mbowe akishinda sioni picha ya yeye kuweza kuunganisha Chama.
Hata umtukane lisu matusi yote duniani umpinguzii chochote wewe endelea kujifarijiBi sharifa ana kura 164 dhidi ya mhuni wa Lissu bi Simba anq 116! Kura zinarudiwa.
Imepenya eeh?Hata umtukane lisu matusi yote duniani umpinguzii chochote wewe endelea kujifariji
Tunamkumbuka tu. May God rest his soul.Kwahiyo picha ya rais wetu wanyonge mshaifanya meme 😥😹
Hakunaga tuzo ya matusiImepenya eeh?
Mfundishe huyo mhuni wenu Lissu awafunze adabu wahuni wenzie waache matusi.Hakunaga tuzo ya matusi
Upo sahihi wewe BWABWA, PUNGA, mtoto sio ridhiki!!Uzuri vinadhibitiwa 😂😂
Hahahaha mnataka tuuchekee uhuni wenu?Upo sahihi wewe BWABWA, PUNGA, mtoto sio ridhiki!!
SEMA PUNGA, BWABWA!!Hahahaha mnataka tuuchekee uhuni wenu?
Mgombea wa kwanza amepata kura 164Bi sharifa ana kura 164 dhidi ya mhuni wa Lissu bi Simba anq 116! Kura zinarudiwa.
Wapiga kura wa Kiwanga watarudi kwa Bi Sharifa.Mgombea wa kwanza amepata kura 164
Mgombea wa pili kapata kura 116
Mgombea wa tatu amepata kura 100
Tafuta asilimia kwa kila mmoja atakuwa amepata asilimia ngapi?
Jawabu lilete kihesabu usilete maandishi.
Hizi habari muulize vizuri LissuSEMA PUNGA, BWABWA!!