Pre GE2025 Vurugu zaibuka tena usiku huu Uchaguzi wa BAWACHA. Rushwa yatajwa

Pre GE2025 Vurugu zaibuka tena usiku huu Uchaguzi wa BAWACHA. Rushwa yatajwa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mambo yamezidi kuchangamka!

Ni mwendo wa kupigana ngumi tu, yani hadi sasa hile ni tukio la tatu au la nne la vurugu kutoka katika uchaguzi wa BAWACHA
==========

Wakati uchaguzi wa baraza la wanawake CHADEMA ukielekea ukingoni kutangazwa kwa matokea vurugu nje ya ukumbi huo zimeubuka baada ya mjumbe mmoja kudai kuna mazingira ya rushwa huku akidai ana ushahidi ndipo ugomvi huo ulipoibuka wakidai aoneahe ushahidi huo wa rushwa.

Soma Pia:

Mpaka sasa ni saaa 4 usiku zoezi la kuhesabu kura bado linaendelea.


Waidhibiti kabisa kambi ya Mwenyekiti Freeman Mbowe Ili wasipate mwanya wa kuingiza kura feki..

Ni wazi wanatoa pesa kwa watu Ili wapenyeze uchafu wao wa ki - CCM hapo..
 
Mambo yamezidi kuchangamka!

Ni mwendo wa kupigana ngumi tu, yani hadi sasa hile ni tukio la tatu au la nne la vurugu kutoka katika uchaguzi wa BAWACHA
==========

Wakati uchaguzi wa baraza la wanawake CHADEMA ukielekea ukingoni kutangazwa kwa matokea vurugu nje ya ukumbi huo zimeubuka baada ya mjumbe mmoja kudai kuna mazingira ya rushwa huku akidai ana ushahidi ndipo ugomvi huo ulipoibuka wakidai aoneahe ushahidi huo wa rushwa.

Soma Pia:
Mpaka sasa ni saaa 4 usiku zoezi la kuhesabu kura bado linaendelea.


Vurugu za CHADEMA zinatengenezwa na ccm kwa sababu zilizo wazi kabisa
 
Back
Top Bottom