Nandagala One
JF-Expert Member
- Aug 19, 2020
- 1,913
- 2,286
SEMA PUNGA π π π€£π€£π΄π΄Hizi habari muulize vizuri Lissu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SEMA PUNGA π π π€£π€£π΄π΄Hizi habari muulize vizuri Lissu
Sawa! Ni maamuzi yao haina shida!Wapiga kura wa Kiwanga watarudi kwa Bi Sharifa.
Teh teh teh unamtukana Lissu sio??SEMA PUNGA π π π€£π€£π΄π΄
Na mbowe atashinda asubuhiMbowe na timu yake wanavuruga uchaguzi
Niambie PUNGA mtoto usio ridhiki π€£π€£π€£π€£π΄π΄Teh teh teh unamtukana Lissu sio??
Waidhibiti kabisa kambi ya Mwenyekiti Freeman Mbowe Ili wasipate mwanya wa kuingiza kura feki..Mambo yamezidi kuchangamka!
Ni mwendo wa kupigana ngumi tu, yani hadi sasa hile ni tukio la tatu au la nne la vurugu kutoka katika uchaguzi wa BAWACHA
==========
Wakati uchaguzi wa baraza la wanawake CHADEMA ukielekea ukingoni kutangazwa kwa matokea vurugu nje ya ukumbi huo zimeubuka baada ya mjumbe mmoja kudai kuna mazingira ya rushwa huku akidai ana ushahidi ndipo ugomvi huo ulipoibuka wakidai aoneahe ushahidi huo wa rushwa.
Soma Pia:
Mpaka sasa ni saaa 4 usiku zoezi la kuhesabu kura bado linaendelea.
- Vurugu zazuka tena uchaguzi BAWACHA, Polisi waingilia kati na watu kadhaa wakamatwa
- Uzi maalumu wa matokeo Uchaguzi wa Baraza la Vijana (BAVICHA) na Baraza la Wazee (BAZECHA) na wanawake (BAWACHA) CHADEMA Taifa 2025
Unamdhalilisha Lissu wakoNiambie PUNGA mtoto usio ridhiki π€£π€£π€£π€£π΄π΄
Ndio wanasema wanataka kuongoza nchi!!!!!??!!!!!Kura chini ya 1000 zinahesabiwa siku 2 chadema ina-tatizo kubwa sana
BWABWA CHAWA π ππ π€£π΄π΄Unamdhalilisha Lissu wako
Unahangaika sana!!BWABWA CHAWA π ππ π€£π΄π΄
Vurugu za CHADEMA zinatengenezwa na ccm kwa sababu zilizo wazi kabisaMambo yamezidi kuchangamka!
Ni mwendo wa kupigana ngumi tu, yani hadi sasa hile ni tukio la tatu au la nne la vurugu kutoka katika uchaguzi wa BAWACHA
==========
Wakati uchaguzi wa baraza la wanawake CHADEMA ukielekea ukingoni kutangazwa kwa matokea vurugu nje ya ukumbi huo zimeubuka baada ya mjumbe mmoja kudai kuna mazingira ya rushwa huku akidai ana ushahidi ndipo ugomvi huo ulipoibuka wakidai aoneahe ushahidi huo wa rushwa.
Soma Pia:
Mpaka sasa ni saaa 4 usiku zoezi la kuhesabu kura bado linaendelea.
- Vurugu zazuka tena uchaguzi BAWACHA, Polisi waingilia kati na watu kadhaa wakamatwa
- Uzi maalumu wa matokeo Uchaguzi wa Baraza la Vijana (BAVICHA) na Baraza la Wazee (BAZECHA) na wanawake (BAWACHA) CHADEMA Taifa 2025
Huyu ni chadema pia??