Vurugu zaibuka Uganda baada ya Bobi Wine kukamatwa

Vurugu zaibuka Uganda baada ya Bobi Wine kukamatwa

Najua kuna Forum ya East Africa ambayo inachakanua yanayojiri kwa jirani zetu. Ila hoja yangu ya kuileta hii hapa ni kutokana kufanana sana hali yao na hali ambayo tungeweza kupitia, au karibu tupitie. Pili Forum hizo mara nyingi ni za Kiingereza na baadhi ya wanao 'dare to talk openly' hawawezi kufanya hivyo huko.
Jamani, kweli Tanzania tumebarikiwa kwa kupewa hekima. Wengine watasema ni upumbavu wetu. Au ni ushupavu wa vyombo vyetu vya usalama na 'ubwege' wa vyao? Haya nawaachia nyie, kwani miye sina meno ya kutafunia mbuyu!
Kuna watu wanafikiri hiki 'kimbunga' kitawapitia pembeni.

Waache wajisahau.:
Sanctions=uchumi kuwa mgumu/ vyuma kukaza mara elfu.

Njaa na mateso vikipita kipimo uasi unafanyika.
That's the end of story.
 
Haya maelezo ndiyo ya Uganda kutokota? Eleza ni kwa namna gani Uganda inatokota.
Mod umenikosea. Miye pia nilikuwa mhariri! Huwezi kurudia habari iliyokwishapita na kujuikana kwa upana. Inapidi ulete 'angle' ya kuendeleza story hiyo!
 
Waganda pamoja na upole wao wanataka kuwa huru. Museveni na chama chake kama tulivyosemaga pamoja na maendeleo wananchi watamchoka yeye na chama. Lakini kikubwa wamechoka kutokuwa huru na kuwa na chaguzi kama yetu ya kipolisi na usalama wa taifa bila wawakilishinkuchaguliwa kihalali.
 
Back
Top Bottom