Naby Keita
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 12,893
- 20,089
Hawa jamaa kama sehemu hawana maslahi ndo wanajifanyaga kutafuta haki ila sehem kama na wao wanakula watazuga tu na porojo za hapa na paleHata DRC hawaoni kabisaaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa jamaa kama sehemu hawana maslahi ndo wanajifanyaga kutafuta haki ila sehem kama na wao wanakula watazuga tu na porojo za hapa na paleHata DRC hawaoni kabisaaaa
Wanatengeneza mazingira ya sisi tuanze kupigana wamuweke mtu wao kisha waanze kuvuna maliHawa jamaa kama sehemu hawana maslahi ndo wanajifanyaga kutafuta haki ila sehem kama na wao wanakula watazuga tu na porojo za hapa na pale
Wanajua hilo haliwezekani......hayo maneno nae anapitisha siku tu, kwa ukanda huu kwao bado pagumuWanatengeneza mazingira ya sisi tuanze kupigana wamuweke mtu wao kisha waanze kuvuna mali
Tanzania Mungu anakupenda sana, mipango yao haitafanikiwa
Na wanajua tukivuka awamu hii wamepoteza mazima na hata wakijaribu inabidi wajipange sanaWanajua hilo haliwezekani......hayo maneno nae anapitisha siku tu, kwa ukanda huu kwao bado pagumu
By the way, Google is the worst translator.Mkuu peleka google translate maana hapa babu wa Lumumba hataelewa atajua amesifiwa kwa kununua ndege 11 na flyover
Yale mavyuma aliyofungwa mwilini yameanza kupata kutu, jasho litamtoka.
Huyu beberu akwende hukooooooo
Ni rahis mbona...ukiona mtu hataji. Taja wew😂Sijui kwa nini wana CCM huwa hawapendi kusikia hili neno HAKI ..... Hakuna kiongozi yeyete wa CCM aliyewahikulitaja hili neno HAKI hadharani. Wananchi lazima tujiulize. Why?
Yaani Chadema wanafikiri US watawaingiza Ikulu!! Halafu hapo kuna cheche gani sasa? Watz wameshawakataa leo Kibaraka Lissu pale Kawe ameaibika wanakawe na Dar nzima wamegoma kwenda kwenye mkutano wake. Hakuna cha nyomi wala nini?!
Hopeless comment ever! Rubbish.We thank the American people for their development support, we ask the American government to use its influence over our government to make sure that it respects our constitutional rights of political freedoms, democracy and human rights. Without a big brother's watch these dictators will drag our country to low levels like most African dictators did to their countries!
Kule kwenye uchaguzi wao mbona kuna vurugu tena zimetokea Times Square mbona hajalalamika,mtalamba sana misamba ya wazungu,toa uchafu huu hapa ,unajifedhehesha.
Kwani na huyu balozi ni mpiga kura wetu?? Mbona hata sisi tuna wasiwasi na uchaguzi wao wa marekani na hatuwashwiwashi kuwasemea?? anataka nini huyu??"Nina wasiwasi na ripoti ninazosikia juu ya vurugu za kisiasa na kuongezeka kwa jumla kwa mivutano tunapokaribia uchaguzi wa Tanzania. Ninahimiza vyama vyote kujitolea kwa uchaguzi huru, wa haki, na wa amani. Kama usemi unavyosema: Amani ni tunda la haki."
Ambassador Donald J. Wright
How?By the way, Google is the worst translator.