Vurugu zisizoisha kitongoji ninachoishi Afrika Kusini

Vurugu zisizoisha kitongoji ninachoishi Afrika Kusini

Kama unadhani ni lazima ufanye maisha yako South Africa basi hakikisha hauishi location.

Kama unaishi location IPO siku yako utazikoga risasi za kutosha tu, msidanganyane.

Mcongo hawezi kushindana na mbongo Kinondoni eti kisa Kinondoni kuna Wacongo wengi, mnadanganyana, tutaendelea kupokea maiti zenu airport.
 
Kama unadhani ni lazima ufanye maisha yako South Africa basi hakikisha hauishi location.

Kama unaishi location IPO siku yako utazikoga risasi za kutosha tu, msidanganyane.

Mcongo hawezi kushindana na mbongo Kinondoni eti kisa Kinondoni kuna Wacongo wengi, mnadanganyana, tutaendelea kupokea maiti zenu airport.
Alafu wa Bongo wa siku hizi sijui kwa nini wanapenda sana kuishi huko location Kama wa Zimbabwe na wabangubangu! Zamani Wabongo walipenda sana kuishi town kwenye flats! Machafuko ya kianza huko South Mara nyingi wanao aanza kuvamiwa ni wageni wanao ishi location,kuwafikia wageni wanao ishi town inakua ngumu kidogo, maana town kidogo kuna patrol za Wazee na vitenga vyao full kuzunguka mitaani kuangalia usalama kwa raia!!
 
Kwa nini munakomaa kwenye nchi za watu kama hamutakiwi?

Ila hilo ni fundisho kubwa maana na nyinyi watz kila siku ni lawama oooh waarabu hivi, oooh wahindi vile... kumbe ni uvivu wenu wa kufanya kazi. Sasa na nyinyi mumekwenda huko mumeona moto unaowawakia.

Poleni sana lakini rudini nyumbani.
 
Back
Top Bottom