Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizo nchi wataenda kumuuzia nani sembe?Ondokeni nchi ya watu kama ni biashara mbona hata huku bongo biashara zipo au hamieni nchi zingine kama Zambia, Zimdollar au Botswana mkafanye biashara huko.
Alafu wa Bongo wa siku hizi sijui kwa nini wanapenda sana kuishi huko location Kama wa Zimbabwe na wabangubangu! Zamani Wabongo walipenda sana kuishi town kwenye flats! Machafuko ya kianza huko South Mara nyingi wanao aanza kuvamiwa ni wageni wanao ishi location,kuwafikia wageni wanao ishi town inakua ngumu kidogo, maana town kidogo kuna patrol za Wazee na vitenga vyao full kuzunguka mitaani kuangalia usalama kwa raia!!Kama unadhani ni lazima ufanye maisha yako South Africa basi hakikisha hauishi location.
Kama unaishi location IPO siku yako utazikoga risasi za kutosha tu, msidanganyane.
Mcongo hawezi kushindana na mbongo Kinondoni eti kisa Kinondoni kuna Wacongo wengi, mnadanganyana, tutaendelea kupokea maiti zenu airport.
Na hicho ndicho kinachowafanya wang'ang'anie kukaa south, hayo mengine ya saloon n.k ni zuga tu.Hizo nchi wataenda kumuuzia nani sembe?
😂😂😂😂😂😂Mangi nipe pepsi toa draft nje
Huyu sidhani kama bado yuko hai.Msalimie shibekijijini