Papa Mobimba
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 1,153
- 1,359
Ni kweli dawa hizo. Zinatolewa kwa watu walioko katika mazingira hatarishi ya kupata maambukizi ya VVU mfano Madaktari Baada ya kujichoma sindano, iwapo umekutana na mtu ambaye ana maambukiziHivi ni kweli kwamba "kuna dawa ambayo ukimeza kabla/muda mfupi baada ya kujamiana inazuia maambukizi ya VVU"???
NimelijibuSwali namba 2 liko poa Mkuu!!!!
Umeshamuona huyo HIV?Virusi wa UKIMWI wana uwezo wa moja kwa moja wa kushambulia mfumo wa fahamu hasa ubongo. Hivyo wakati mwingine mtu anaweza kuumwa matatizo ya akili kutokana na virus hawa. Mara nyingi wakianza kutumia dawa na kinga kupanda Ile ugonjwa wa akili unapona
Sina electronic microscopeUmeshamuona huyo HIV?
Majibu ya kitaalamu sana haya!!!Discordant couples kwa lugha rahisi ni kwamba mwanandoa mmoja ameathirika na mwingine hajaatharika. Kitu gani kinachosababisha hali hii kutokea hakijulikani. Hata hivyo watafiti wanafikiria juu ya mambo mengi mfano jinsia, genitiki, afya ya wanandoa, matumizi ya kondom nk nk.
Hasara kubwa ni kwamba hali hii inachangia kuenea sana kwa maambukizi
Faida ni kuwa hawa wanandoa wanaweza kuwa sampuli nzuri katika majaribio kinga na tiba ya UKIMWI
Hahahahahahahahhaha.... No Please.... Asikimbie.... Atuelimishe sie wana jamii....Mmaswali yako yanaweza kusababisha mtu kukimbia maswali wakati wowote kuanzia sasa
3D ni teknolojia ya juu sana ktk maswala maswala ya picha na michoro. Kifupi hutoa/huonesha picha/mchoro kwa uharisia wake. Ahsante Mkuu, kifupi wewe ni mbobezi ktk maswala ya HIV/AIDS kama siyo afya kwa ujumla wake.Bakteria wengi wanaonekana kwa microscope za kawaida. Virus wa HIV waneonekana kuanzia zamani. Na sasa hivi wanaonekana kwa kutumia 3D electronic microscope. Pitia hii article kutoka PubMed
Catching HIV ‘in the act’ with 3D electron microscopy
Hakuna swali la kunifanya nikimbie. Kama swali litakuwa gumu nitasema kuwa siliwezi...Hahahahahahahahhaha.... No Please.... Asikimbie.... Atuelimishe sie wana jamii....
Kuna watu wanafikiria niko hapa kuuza chai3D ni teknolojia ya juu sana ktk maswala maswala ya picha na michoro. Kifupi hutoa/huonesha picha/mchoro kwa uharisia wake. Ahsante Mkuu, kifupi wewe ni mbobezi ktk maswala ya HIV/AIDS kama siyo afya kwa ujumla wake.
Jamaa yuko poa yaaniNimeona mkuu hongera unaelezea kwa vizuri
OKNi kweli dawa hizo. Zinatolewa kwa watu walioko katika mazingira hatarishi ya kupata maambukizi ya VVU mfano Madaktari Baada ya kujichoma sindano, iwapo umekutana na mtu ambaye ana maambukizi
Inawezekana umekuwa na maswali ambayo yamekuwa yakikutatiza juu ya maambukizi ya Virusi vya UKIMWI na ugonjwa wa UKIMWI.
Leo nakupa nafasi ya kuuliza swali lolote juu ya mada hii. Twende kazi!
Mkuu Vipi Upatikanaji Wa Hizi Dawa Upoje!, namaanisha zinapatikana hadi kwenye maduka ya dawa ya kawaida au Hadi Hospital?.Ni kweli dawa hizo. Zinatolewa kwa watu walioko katika mazingira hatarishi ya kupata maambukizi ya VVU mfano Madaktari Baada ya kujichoma sindano, iwapo umekutana na mtu ambaye ana maambukizi
Ni lazima hizi dalili zijitokeze zote kwa the same time ?Tafiti nyingi zimeonyesha dalili zifuatazo hujitokeza kwa watu wengi waliopata maambikizi ya VVU kwa mara ya kwanza. •Homa •Uchovu •Maumivu ya viungo na misuli •Kuvimba mitoki sehemu mbalimbali ya mwili •Kupata vidonda kwenye koo •Upele mchanganyiko kwenye kiwiliwili •Vidonda sehemu mbali mbali mwili •Kuharisha •Kichefuchefu na Kutapika •Kupungua uzito •Kutoka jasho hasa wakati wa usiku •Maumivu ya kichwa. •Homa ya uti wa mgongo (baadhi ya wagonjwa. Dalili hizi za awali hufanana na dalili za mtu anayeumwa mafua. Dalili hizi hujitokeza katika kipindi cha wiki mbili mpaka 6 toka kupata maambukizi ya VVU.
Inawezekana kabisaInakuwaje unatembea na Muathirika wa HIV na haupati?
Hapana. Huwa hazijitokezi zote kwa wakati mmojaNi lazima hizi dalili zijitokeze zote kwa the same time ?
Inawezekana kabisa
Wagonjwa wamegawanyika katika makundi matatu. Kuna ambao dalili hujitokeza ndani ya miaka miwili mpaka mitatu, wengi Dalili hujitokeza baada ya miaka naneNaomba kujua kama umeambukizwa dalili huanza kujionyesha baada ya muda gani?
Sababu ni hizi (1). Kama hujapata michubuko huwezi ambukizwa (2). HIV viral load au uwingi wa virus kwa muathirika ikiwa ndogo au undetectable hawezi kukuambukizaInakuwaje unatembea na Muathirika wa HIV na haupati?